Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Mwigulu Nchemba akizindua jengo jipya la Utawala la Halmashauri ya Wilaya ya Rombo wakati wa ziara yake ya kikazi Wilayani humo.


Jengo hilo limekamilika na tayari linaanza kutumika, likiwa limejengwa kwa gharama ya shilingi bilioni 3.8. Ujenzi wake unatarajiwa kuongeza ufanisi wa kazi, kuboresha upatikanaji wa huduma kwa wananchi, pamoja na kuimarisha mawasiliano kati ya Serikali na wananchi.



Rombo District Council,Mkuu Bomani Street
Sanduku la Posta: P.o Box 52,Mkuu,Rombo
Simu: 027-2757101
Simu ya Mkononi: 027-2757101
Barua Pepe: ded@rombodc.go.tz
Copyright@2019Rombodc.all rights reserved