• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rombo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mipango na Takwimu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Utumishi na Utawala
      • Afya
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Uchaguzi
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • maji
    • Elimu
    • Watumishi
    • Kilimo
    • Afya
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Mipya
  • Machapisho
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti
    • Taratibu
    • Taarifa za Fedha
      • Taarifa ya makisio ya Mapato
      • Taarifa ya Mapato Halisi
      • Taarifa ya Matumizi
      • MTEF
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba

Usafi&Mazingira

PROFAILI YA IDARA YA USAFI NA MAZINGIRA


Mathias N.Gungumka-Mkuu wa Idara


 

Dira yetu; Watu wenye afya katika mazingira mazuri na endelevu.

 

Mission yetu; Inalinda afya za watu kutokana na hatari za kimazingira.

 

Utangulizi.

 

Idara ya Usafi na Mazingira inaye Mkuu wa Idara, Afisa Afya Mazingira 1, Maafisa afya Mazingira wasaidizi 12,Wasaidizi wa afya mazingira 4, mbapo kata zenye wataalamu ziko 14 tu kati ya kata 28, upungufu uliopo ni maafisa afya Mazingira wasaidizi 14.

 

Moja ya majukumu ya Sekta ya Usafi na Afya Mazingira ni kudhibiti mazingira anayoishi binadamu , kufanya kazi na kupita ili mazingira hayo yasiwe chanzo cha magonjwa mbalimbali ya kuambukiza na yasiyo ya kuambukiza kwa binadamu.

 

Shughuli za Usafi na Afya Mazingira zinaongozwa na kuongozwa chini ya Sheria mbalimbali zilizotungwa na bunge zikiwemo; Sheria namba 1 ya Afya ya jamii ya mwaka 2009 pamoja na kanuni zake za mwaka 2016 zilizochapishwa katika Gazzeti la Serikali namba 226 la tarehe 29.Juni.2012.

 

Sheria namaba 1 ya Chakula,Dawa na Vipodozi ya mwaka 2003 pamoja na kanuni zake za mwaka 2006 zilizochapishwa katika Gazzeti la serikali namba 112 la tarehe 25.Agosti.2006.

 

Pamoja na Sheria ndogo za Halmashauri ya wilaya ya Rombo za mwaka 2017.

   

Baadhi ya majukumu yanayotekelezwa na idara hii ni; 

 

 

 

Kufanya ufuaatiliaji wa utekelezaji wa kampeni ya kitaifa ya usafi wa mazingira (M&E) katika vijiji vyote 68 vilivyofikiwa wakati wa utekelezaji kuanzia ngazi ya kaya, kitongoji, kijiji na kata tangu mwaka 2013 hadi 2016, ili kuishawishi jamii iweze kuboresha hali ya usafi wa maingira ikiwa ni pamoja na ujenzi na matumizi ya vyoo bora pamoja na utengenezaji wa geleni/vifaa chirizi vya kunawia mikono na sabuni baada ya kutoka kujisaidia chooni.

 

Kusimamia na kuratibu kazi za uzoaji taka ngumu na laini katika miji na masoko katika masoko na stendi.

 

Kutekeleza,Kusimamia na kuratibu shughuli za ukaguzi wa maeneo ya kutengeneza na kuuzia vyakula na vinywaji ndani ya wilaya pamoja na kuchukua hatua za kisheria kwa wanaokiuka sheria na kanuni za afya mazingira

 

Kutekeleza,Kusimamia na kuratibu shughuli za ukaguzi wa maeneo ya taasisi,makazi,viwanda,karakana na maeneo yote anyopita,anayoishi ama kufanya kazi binadamu na kutoa ushauri ili maeneo hayo yasiwe chanzo cha magonjwa ama madhara kwa binadamu kwa mazingira yanayomzunguka binadamu.

 

Kufanya ukaguzi wa vyanzo vya maji na kutoa elimu ya afya na ushauri juu ya utunzaji wa vyanzo hivyo

 

Kushauri na Kuchukua hatua za kisheria kwa wale wote wanaoenda kinyume na sheria za nchi zinazohusiana na Usafi na Afya Mazingira.

 


Matangazo

  • MATOKEO YA USAHILI WA WALIOOMBA KAZI YA KUKUSANYA MAPATO NA KAZI YA USAFI August 27, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA VYA HALMASHAURI YA WILAYA YA ROMBO June 14, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA August 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA AJIRA YA MKATABA July 16, 2024
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • ZAID YA SHILINGI MILIONI MIA SITA AROBAINI NA MOJA YA KABIDHIWA KWA VIKUNDI 52

    April 17, 2025
  • ZAID YA SHILINGI MILIONI MIA SITA AROBAINI NA MOJA YA KABIDHIWA KWA VIKUNDI 52

    April 17, 2025
  • Ona Zote

Video

Maafisa Elimu Kata wakizifanyia Majaribio Pikipiki
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Muundo wa Halmashauri
  • Wasiliana Nasi Kwa
  • Miladi iliyokamilika

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • MFUMO WA TAUSI
  • Ffars
  • Tamisemi
  • Idara ya Takwimu (NBS)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Rombo District Council,Mkuu Bomani Street

    Sanduku la Posta: P.o Box 52,Mkuu,Rombo

    Simu: 027-2757101

    Simu ya Mkononi: 027-2757101

    Barua Pepe: ded@rombodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright@2019Rombodc.all rights reserved