• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rombo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mipango na Takwimu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Utumishi na Utawala
      • Afya
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Uchaguzi
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • maji
    • Elimu
    • Watumishi
    • Kilimo
    • Afya
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Mipya
  • Machapisho
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti
    • Taratibu
    • Taarifa za Fedha
      • Taarifa ya makisio ya Mapato
      • Taarifa ya Mapato Halisi
      • Taarifa ya Matumizi
      • MTEF
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba

Ujenzi

PROFILE YA IDARA YA UJENZI

1.0 Utangulizi:

Idara ya Ujenzi ni moja kati ya Idara kumi na nne za Halmashauri. Idara imegawanyika katika sehemu kuu mbili ambazo ni (i) Majengo na (ii) Umeme na Mitambo.

Idara ina watumishi wapatao kumi na sita (12) ambapo kati ya hao, Mkadiriaji majenzi (QS) 1, Mafundi Sanifu 2, Mafundi Sanifu wasaidizi 6, dereva 1, Walinzi 2.

Jukumu kuu la Idara ya Ujenzi ni Usimamizi na Ujenzi wa miundo mbinu katika Wilaya.

  • 2.Majengo

Sehemu hii inashughulika zaidi na usimamizi wa miradi mbalimbali ya majengo katika Wilaya ambapo miradi hii inatekelezwa na Idara mbalimbali za Halmashauri zikiwemo Utawala, Afya, Kilimo, Mifugo na Elimu.

Pia sehemu hii hutoa ushauri wa kitaalamu kwa jamii katika masuala yanayohusiana na ujenzi na ukarabati wa majengo. Aidha kwa kushirikiana na idara za Ardhi,maliasili na mazingira / Mipango miji na Afya Idara huratibu zoezi la utoaji wa vibali vya ujenzi wa majengo.

  • Umeme na Mitambo

Sehemu hii inashughulika zaidi na ukaguzi na ukarabati wa mifumo ya umeme, magari na mitambo. Hata hivyo baada ya Serikali kubadili mfumo wa matengenezo ya magari na mitambo ambapo kwa sasa vinafanywa na wazabuni, sekta hii inashughulika na ukaguzi wa magari ya Halmashauri ili kubaini tatizo kabla ya kuyapeleka kwa wazabuni kwa matengenezo. Pia ukaguzi na usimamizi wa kazi za umeme katika miundo mbinu ya Halmashauri hufanywa na sehemu hii ya Idara.

  • Sekta ya Majengo

Idara imefanikiwa kusimamia ujenzi na ukarabati mkubwa wa miundombinu ya sekta za Utawala, Afya, Elimu, Kilimo, Mifugo ambapo majengo ya Zahanati, Vituo vya Afya na nyumba za watumishi vimejengwa au kufanyiwa ukarabati.

Aidha shughuli za Kukagua na kusimamia shughuli zote za ujenzi wa majengo mbalimbali ndani ya Wilaya, Kutoa ushauri wa kitalaamu juu ya ujenzi bora na wa gharama nafuu na Kutoa elimu kuhusu kuzingatia sheria na kanuni za ujenzi vimefanikiwa kwa kiwango kikubwa.

  • Changamoto
  • 4.1 Upungufu wa Wataalam
  • Idara inakabiliwa na upungufu wa watumishi wataalamu wafuatao (i) Archictect – 1 (Mbunifu na msanifu majengo), na (ii) Mafundi sanifu (technicians) – 3.
  • 4.2 Upungufu wa vitendea kazi
  • Ukosefu wa vitendea kazi kama gari na pikipiki, vifaa vya kupimia ubora wa kazi vimekuwa kikwazo katika usimamizi wa miradi ya maendeleo.

Matangazo

  • MATOKEO YA USAHILI WA WALIOOMBA KAZI YA KUKUSANYA MAPATO NA KAZI YA USAFI August 27, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA VYA HALMASHAURI YA WILAYA YA ROMBO June 14, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA August 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA AJIRA YA MKATABA July 16, 2024
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • ZAID YA SHILINGI MILIONI MIA SITA AROBAINI NA MOJA YA KABIDHIWA KWA VIKUNDI 52

    April 17, 2025
  • ZAID YA SHILINGI MILIONI MIA SITA AROBAINI NA MOJA YA KABIDHIWA KWA VIKUNDI 52

    April 17, 2025
  • Ona Zote

Video

Maafisa Elimu Kata wakizifanyia Majaribio Pikipiki
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Muundo wa Halmashauri
  • Wasiliana Nasi Kwa
  • Miladi iliyokamilika

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • MFUMO WA TAUSI
  • Ffars
  • Tamisemi
  • Idara ya Takwimu (NBS)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Rombo District Council,Mkuu Bomani Street

    Sanduku la Posta: P.o Box 52,Mkuu,Rombo

    Simu: 027-2757101

    Simu ya Mkononi: 027-2757101

    Barua Pepe: ded@rombodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright@2019Rombodc.all rights reserved