• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rombo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mipango na Takwimu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Utumishi na Utawala
      • Afya
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Uchaguzi
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • maji
    • Elimu
    • Watumishi
    • Kilimo
    • Afya
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Mipya
  • Machapisho
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti
    • Taratibu
    • Taarifa za Fedha
      • Taarifa ya makisio ya Mapato
      • Taarifa ya Mapato Halisi
      • Taarifa ya Matumizi
      • MTEF
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba

MKUU WA MKOA BABU AHUDHURIA KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI

Posted on: June 26th, 2023

Baraza la madiwani wa halmashauri ya Wilaya ya Rombo wafanya kikao cha kufunga mwaka wa fedha 2022/23, nae Mkuu wa  mkuu wa wilaya ya Rombo mhe. Kanali Hamis Maiga, mkuu Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Nurdin Babu Pamoja na akatibu tawala mkoa wa Kilimanjaro mhe. Tixon Nzunda wahudhuria kikao hicho kilicholenga kujibu hoja za mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali (CAG).

Baraza hilo la waheshimiwa madiwani lilipitia hoja 10 silizosalia kujibiwa kati ya hoja 31 zilizohitaji majibu na baada ya majadiliano na mapitio ya hoja hizo kwa kina waliridhia mpaka ifikapo mwezi wa saba hoja hizo ziwe zimekamilishwa kujibiwa, lakini pia kuwepo na vielelezo na kufunga hoja hizo.

Hata hivyo, Kabla ya kikao hicho kuhairihswa mwenyekiti wa kikao hicho Pamoja mkurugenzi alimkaribisha kuu wa wilaya ambaye alimkaribisha katibu tawala azungumze jambo na baraza hilo la madiwani.  “Kwanza niwapongeze kwa kuwa halmashauri iliyokusanya mapato kwa Zaidi ya asilimia 100 lakini nisisitize ufungwaji wa vifaa vya kieletroniki kwenye vyanzo vyote vya mapato ambapo itasaidia kupunguza upotevu wa mapato” alishauri katibu tawala mhe. Tixon Nzunda.

Vile vile Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Babu alishauri baraza hilo la madiwani kuhakikisha wanasimamai utekelezaji wa miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika kila kata. Pia akiomba kila diwani kwa nafasi yake kuhakikisha wanapambana kutokomeza mmomonyoko wa maadili ambao kwa sasa imekuwa changamoto kubwa nchini na duniani kiujumla.

Matangazo

  • MATOKEO YA USAHILI WA WALIOOMBA KAZI YA KUKUSANYA MAPATO NA KAZI YA USAFI August 27, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA VYA HALMASHAURI YA WILAYA YA ROMBO June 14, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA August 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA AJIRA YA MKATABA July 16, 2024
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • ZAID YA SHILINGI MILIONI MIA SITA AROBAINI NA MOJA YA KABIDHIWA KWA VIKUNDI 52

    April 17, 2025
  • ZAID YA SHILINGI MILIONI MIA SITA AROBAINI NA MOJA YA KABIDHIWA KWA VIKUNDI 52

    April 17, 2025
  • Ona Zote

Video

Maafisa Elimu Kata wakizifanyia Majaribio Pikipiki
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Muundo wa Halmashauri
  • Wasiliana Nasi Kwa
  • Miladi iliyokamilika

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • MFUMO WA TAUSI
  • Ffars
  • Tamisemi
  • Idara ya Takwimu (NBS)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Rombo District Council,Mkuu Bomani Street

    Sanduku la Posta: P.o Box 52,Mkuu,Rombo

    Simu: 027-2757101

    Simu ya Mkononi: 027-2757101

    Barua Pepe: ded@rombodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright@2019Rombodc.all rights reserved