• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rombo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mipango na Takwimu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Utumishi na Utawala
      • Afya
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Uchaguzi
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • maji
    • Elimu
    • Watumishi
    • Kilimo
    • Afya
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Mipya
  • Machapisho
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti
    • Taratibu
    • Taarifa za Fedha
      • Taarifa ya makisio ya Mapato
      • Taarifa ya Mapato Halisi
      • Taarifa ya Matumizi
      • MTEF
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba

Wananchi waridhia kulipa madeni ya wazabuni

Posted on: June 14th, 2019

Wananchi wa vijiji vya Katangara na Mrere wameridhia kuchangia deni la wazabuni kiasi cha shilingi milioni 23,744,000.00 ambalo limetokana na kukopa vifaa vya ujenzi wa maabara ya kisasa ya baiolojia na fizikia katika shule ya sekondari Mashati.

Maamuzi hayo yalifikiwa baada ya wataalamu kutoka ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji  ambao ni Afisa Mipango, Mkaguzi wa ndani, Mwanasheria pamoja na Afisa Elimu sekondari  kufanya mkutano na wananchi wa vijiji hivyo wakishirikiana na bodi ya shule, kamati ya ujenzi ya shule  pamoja na uongozi  wa vijiji na kujadili namna ya kulipa deni la mzabuni  ambaye amepeleka kesi mahakamani ili kulipwa deni lake.

Baada ya wananchi kusomewa taarifa kamili ya mradi na madeni ambayo mradi huo unadaiwa, wananchi waliridhia kulipa deni hilo kidogo kidogo kwa awamu kwa  kila kaya kuchangia shilingi elfu thelathini(30,000) kwa kuanza na zile kaya ambazo hazijachanga kabisa kwa uwiano wa shilingi 15,780,000 kijiji cha Mrere na shilingi 8,000,000.00 kijiji cha katangara ili kulipa deni lote ambalo mradi huo  unadaiwa.

Aidha  mradi wa maabara ya Mashati sekondari ni mradi ambao ulikataliwa kuzinduliwa na Kiongozi wa Mbio za Mwenge mwaka jana kutokana na mzabuni kutokulipwa deni lake ,na  kumuagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Rombo kuhakikisha anamlipa mzabuni aliyetoa vifaa vya ujenzi ndugu Sabas Shirima kiasi cha shilingi milioni 22,744,000.00 ambapo kiasi cha shilingi milioni kumi (10,000,000) kililipwa na halmashauri na kiasi kilichobaki kilitakiwa kulipwa kutokana na michango ya wananchi.

Hata hivyo baada ya Ofisi ya Mkurugenzi kulipa kiasi alichotakiwa kulipa bado upande wa wananchi hakuna malipo yeyote yaliyofanyika kitu kilichopelekea mdai kurudi mahakamani ili kukazia hukumu  ili amaliziwe deni lake lote, hatua ambayo ilibidi Mkurugenzi Mtendaji Bi Magreth L John na timu ya wataalamu kujipanga upya kwenda kuzungumza na wananchi wa vijiji hivyo.

Katika mkutano huo  wananchi  waliridhia kulipa deni hilo lililobaki kiasi cha shilingi milioni 12,744,000.00 la ndugu Sabas Shirima lakini pia walikubaliana walipe madeni yote ya mradi huo wanaodaiwa na wazabuni pamoja na mafundi ili kuepuka usumbufu, ambapo jumla ya deni  ambalo mradi huo unadaiwa ni shilingi 23,744,000.00

 

Matangazo

  • MATOKEO YA USAHILI WA WALIOOMBA KAZI YA KUKUSANYA MAPATO NA KAZI YA USAFI August 27, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA VYA HALMASHAURI YA WILAYA YA ROMBO June 14, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA August 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA AJIRA YA MKATABA July 16, 2024
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • ZAID YA SHILINGI MILIONI MIA SITA AROBAINI NA MOJA YA KABIDHIWA KWA VIKUNDI 52

    April 17, 2025
  • ZAID YA SHILINGI MILIONI MIA SITA AROBAINI NA MOJA YA KABIDHIWA KWA VIKUNDI 52

    April 17, 2025
  • Ona Zote

Video

Maafisa Elimu Kata wakizifanyia Majaribio Pikipiki
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Muundo wa Halmashauri
  • Wasiliana Nasi Kwa
  • Miladi iliyokamilika

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • MFUMO WA TAUSI
  • Ffars
  • Tamisemi
  • Idara ya Takwimu (NBS)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Rombo District Council,Mkuu Bomani Street

    Sanduku la Posta: P.o Box 52,Mkuu,Rombo

    Simu: 027-2757101

    Simu ya Mkononi: 027-2757101

    Barua Pepe: ded@rombodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright@2019Rombodc.all rights reserved