• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rombo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mipango na Takwimu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Utumishi na Utawala
      • Afya
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Uchaguzi
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • maji
    • Elimu
    • Watumishi
    • Kilimo
    • Afya
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Mipya
  • Machapisho
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti
    • Taratibu
    • Taarifa za Fedha
      • Taarifa ya makisio ya Mapato
      • Taarifa ya Mapato Halisi
      • Taarifa ya Matumizi
      • MTEF
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba

Miradi Iliyokamilika

HALMASHAURI YA WILAYA YA ROMBO

Orodha ya miradi ya Maendeleo inayoendelea na iliyosimama kutekelezwa

Na

Aina ya mradi

Sekta

Mahali ulipo

Hatua ya utekelezaji

1

Ujenzi wa jengo la Utawala (HQ)

Utawala

Bomani
Msingi

2

Mradi wa   maji kijiji cha Shimbi Mashariki

Maji

Shimbi mashariki
Utekelezaji unaendelea

3

Mradi wa  maji Kijiji cha Ngareni

Maji

Ngareni
Utekelezaji unaendelea

4

Mradi wa  maji Kijiji cha Ushiri

Maji

Ushiri
Umekamilika

5

Mradi wa  maji Kijiji cha Kahe

Maji

Kahe
Umekamilika

6

Mradi wa maji Kijiji cha Leto

Maji

Leto
Utekelezaji unaendelea

7

Ujenzi wa OPD awamu ya II katika kituo cha Afya Karume

Afya

Lesoroma
Msingi

8

Ukarabati wa Ofisi ya Idara ya Ardhi

Utawala

Bomani
Jengo limepauliwa

9

Ukarabati wa machinjio Kijiji cha Ibukoni

Mifugo

Ibukoni
Uchakavu wa miundombinu

10

Kukamilisha Ujenzi wa Ofisi ya Kero

Utawala

Bomani
Jengo limeshapauliwa (Awamu ya I imekamilika)

11

Ujenzi wa nyumba ya mtumishi awamu ya II-Mkuu mjini

Utawala

Mkuu mjini
Jengo lishapauliwa (Awamu ya I imekamilika)

12

Ujenzi wa matenki 5 ya kuvunia maji ya mvua katika shule ya msingi Baraka, Kwalamtongi, Keni Aleni, shule ya sekondari Kilamacho na Zahanati ya Ikuini

Maji

Kirongo juu,Marangu,Aleni chini, Kiraeni na Ikuini
Utekelezaji unaendelea na Ujenzi upo katika hatua mbalimbali

13

Ujenzi wa uzio (gate),mfumo wa kutolea taka soko la Mkuu

Kilimo

Mkuu
Uchakavu wa miundombinu

14

Ukamilishaji wa kitalu cha miche ya kahawa ya vikonyo katika Kijiji cha Samanga

Kilimo

Samanga

Ujenzi wa uzio na ununuzi wa vifaa vya ujenzi wa machipuzo (VPU)

15

Ujenzi wa Bweni la Wavulana katika Shule ya Sekondari Mahida

Elimu

Mahida

Jengo limepauliwa, bado umaliziaji

16

Ujenzi wa vyoo katika Shule ya Msingi Kikelelwa, Mokombero, Mahorosha na Malowa

Elimu

Kikelelwa,Mokombero,Mahorosha na Kidondoni
Kikelelwa Ujenzi wa choo umekamilika na kinatumika.
Mokombero choo cha dharura matundu 4 kimechimbwa
Mahorosha shimo la choo limechibwa
Malowa choo kimepauliwa

17

Ujenzi wa Ofisi ya vijiji katika kijiji cha Samanga

Utawala

Samanga
Ujenzi upo katika hatua za mwisho za umaliziaji

18

Upandaji wa miche ya miti 300,000 kwenye msitu wa Half Mile

Misitu

Nusu maili

Miti 215,000 imepandwa katika msitu wa nusu maili

19

Ukamilishaji wa soko la Holili

Kilimo

Holili

Awamu ya I imekamilika

20

Ukamilishaji wa Nyumba moja ya mtumishi katika Zahanati ya Kirongo Chini

Afya

Kirongo chini

Ujenzi wa boma umekamilika

21

Ukamilishaji wa Nyumba ya Mtumishi katika Zahanati ya Mengeni Kitasha

Afya

Kitasha

Hatua za mwisho za umaliziaji

22

Ukamilishaji wa ujenzi wa Zahanati ya Ngaseni

Afya

Ngaseni

Hatua ya Lenta na Ujenzi unaendelea

23

Ukamilishaji wa ujenzi wa Zahanati ya Kisale

Afya

Kisale

Ujenzi wa boma umekamilika na unaendelea

24

Ujenzi wa ofisi ya Kijiji cha Nguduni

Utawala

Mahida - Nguduni
Jengo lipo hatua ya usawa wa dirisha na Ujenzi umesimama

25

Ujenzi wa Zahanati ya mawanda mkei

Afya

Mahida - Mahango
Eneo lipo, mawe na mchanga na utekelezaji unaendelea

26

Ujenzi wa madarasa 8 shule ya msingi Kastam

Elimu

Holili
Madarasa yamepauliwa na Ujenzi unaendelea

27

Ujenzi wa ofisi ya Kijiji Mamsera Kati

Utawala

Mamsera Kati
Jengo limepauliwa na Ujenzi unaendelea

28

Ujenzi wa darasa la awali Kijiji cha Kidondoni

Elimu

Chala - Kidondoni
Ujenzi umefikia hatua ya Lenta na Ujenzi umesimama

29

Ujenzi wa ofisi ya Kijiji cha Mengwe Juu

Utawala

Mengwe Juu
Jengo limepauliwa na Ujenzi unaendelea

30

Ujenzi wa ofisi ya Kata ya Manda

Utawala

Manda – Manda Chini
Jengo limepauliwa na Ujenzi unaendelea

31

Ujenzi wa choo cha kisasa shule ya msingi Ngoyoni
Elimu
Ngoyoni – Ngareni
Shimo limechimbwa na utekelezaji unaendelea na utekelezaji unaendelea

32

Ujenzi wa ofisi ya Kata Ngoyoni
Utawala
Ngoyoni
Jengo limepauliwa na Ujenzi umesimama

33

Ujenzi wa maabara shule ya Sekondari Mengeni
Elimu
Mengeni – Mengeni Chini
Jengo limepauliwa na kuwekwa meza na utekelezaji unaendelea

34

Ujenzi wa Zahanati ya Kijiji cha Mfuruwashe
Afya
Mengeni - Mfuruwashe
Ujenzi upo katika hatua ya msingi

35

Ujenzi wa darasa la awali shule ya msingi Kwasondo
Elimu
Shimbi masho
Jengo limepauliwa, vioo vimewekwa sakafu na plasta na linatumika

36

Ujenzi wa madarasa 3 shule ya Sekondari Kwaikuru
Elimu
Shimbi – Mashami
Madarasa yamepauliwa

37

Ujenzi wa darasa 1 shule ya sekondari Mlambai
Elimu
Shimbi kwandele
Ujenzi umefikia hatua ya lenta

38

Ujenzi wa madarasa 2 shule ya sekondari Makiidi
Elimu
Makiidi - Maharo
Madarasa yamepauliwa na yanatumika ila bado hayajakamilika

39

Ujenzi wa Zahanati kijiji cha Ubaa
Afya
Ubaa
Hatua ya kuchimba msingi

40

Ujenzi wa ofisi ya Kata ya Mrao Keryo
Utawala
Mrao Keryo
Ujenzi umefikia hatua ya lenta

41

Ujenzi wa Zahanati kijiji cha Keryo
Afya
Keryo
Ujenzi umefikia hatua ya kuweka lenta na utekelezaji unaendelea

42

Ujenzi wa ofisi ya kijiji cha mrere
Utawala
Katangara mrere
Ujenzi upo katika hatua ya lenta

43

Ujenzi wa Zahanati ya kijiji cha Kisale
Afya
Kisale
Ujenzi upo katika hatua ya boma na utekelezaji unaendelea

44

Ujenzi wa wodi ya Zahanati ya Mahorosha
Afya
Mahorosha
Ujenzi upo katika hatua ya msingi

45

Ujenzi wa ofisi ya kijiji cha Marangu
Utawala
Marangu
Ujenzi upo katika hatua ya mwisho ya umaliziaji

46

Ukarabati wa madarasa 3 shule ya msingi Baraka
Elimu
Kirongo juu
Madarasa hayana madirisha, milango, plasta na sakafu imeharibika

47

Ujenzi wa madarasa 2 shule ya msingi Kiraro
Elimu
Lesoroma
Madarasa yamepauliwa na utekelezaji unaendelea

48

Ukarabati wa madarasa 4 shule ya msingi Usongo
Elimu
Kingachi - Leto
Utekelezaji unaendelea

49

Ukarabati wa madarasa shule ya sekondari Nanjara
Elimu
Nanjara
Uchakavu wa miundombinu

50

Ujenzi wa ukumbi wa mitihani shule ya sekondari Urauri
Elimu
Urauri
Ujenzi umefikia hatua ya lenta

51

Ujenzi wa ofisi ya kata ya Reha
Utawala
Reha - Nesae
Jengo limepauliwa na kuwekwa  milango

52

Ujenzi wa nyumba ya mganga Zahanati ya Kikelelwa
Afya
Kikelelwa
Nyumba imepauliwa na utekelezaji umesimama

53

Ujenzi wa Zahanati ya kijiji cha Nduweni
Afya
Mbomai
Ujenzi umefikia hatua ya lenta

54

Ukarabati wa madarasa 3 na Ujenzi wa darasa la awali shule ya msingi Endoneti
Elimu
Endoneti
Utekelezaji unaendelea

55

Ujenzi wa jiko la kisasa shule ya msingi Kwangao
Elimu
Kelamfua
Awamu ya I Ujenzi imekamilika

56

Ujenzi wa jiko shule ya Sekondari Horombo
Elimu
Ibukoni
Jiko na stoo zimejengwa bado Ujenzi wa bwalo

57

Ujenzi wa Ofisi ya Kijiji cha Kidondoni
Utawala
Kidondoni
Ujenzi umekamilika

58

Ujenzi wa jengo la Zahanati Kijiji cha Kiraeni
Afya
Kiraeni
Ujenzi upo katika hatua za awali

59

Ujenzi wa Kituo cha Polisi  Kirongo chini
Utawala
Kirongo chini
Ujenzi umefikia hatua ya lenta na utekelezaji umesimama

60

Ujenzi wa Kituo cha Polisi  Ngoyoni
Utawala
Ngoyoni
Ujenzi upo katika hatua ya lenta

Matangazo

  • MATOKEO YA USAHILI WA WALIOOMBA KAZI YA KUKUSANYA MAPATO NA KAZI YA USAFI August 27, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA VYA HALMASHAURI YA WILAYA YA ROMBO June 14, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA August 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA AJIRA YA MKATABA July 16, 2024
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • ZAID YA SHILINGI MILIONI MIA SITA AROBAINI NA MOJA YA KABIDHIWA KWA VIKUNDI 52

    April 17, 2025
  • ZAID YA SHILINGI MILIONI MIA SITA AROBAINI NA MOJA YA KABIDHIWA KWA VIKUNDI 52

    April 17, 2025
  • Ona Zote

Video

Maafisa Elimu Kata wakizifanyia Majaribio Pikipiki
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Muundo wa Halmashauri
  • Wasiliana Nasi Kwa
  • Miladi iliyokamilika

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • MFUMO WA TAUSI
  • Ffars
  • Tamisemi
  • Idara ya Takwimu (NBS)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Rombo District Council,Mkuu Bomani Street

    Sanduku la Posta: P.o Box 52,Mkuu,Rombo

    Simu: 027-2757101

    Simu ya Mkononi: 027-2757101

    Barua Pepe: ded@rombodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright@2019Rombodc.all rights reserved