• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rombo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mipango na Takwimu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Utumishi na Utawala
      • Afya
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Uchaguzi
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • maji
    • Elimu
    • Watumishi
    • Kilimo
    • Afya
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Mipya
  • Machapisho
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti
    • Taratibu
    • Taarifa za Fedha
      • Taarifa ya makisio ya Mapato
      • Taarifa ya Mapato Halisi
      • Taarifa ya Matumizi
      • MTEF
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba

Serikali kutatua tatizo la mwingiliano wa mawasiliano mipakani

Posted on: March 30th, 2019

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano Dr.Jim Yonazi pamoja na timu yake imefanya ziara wilayani Rombo ili kukagua tatizo la mwingiliano wa mawasiliano ya simu na redio yaliyopo katika wilaya na kuangalia maeneo yanayohitaji huduma ya mawasiliano na maeneo yanayohitaji maboresho.

Akizungumza katika ziara hiyo iliyofanyika tarehe 30 Machi mwaka huu Dr Yonazi amesema kuwa serikali inafanyia kazi tatizo la mwingiliano wa mawasiliano na muda si mrefu maeneo yote yatakuwa na usikivu mzuri wa mawasiliano ya simu, redio na Televisheni.

Mawasiliano ni uchumi,na  yanapokuwa mazuri wananchi watashiriki vema katika shughuli za kiuchumi na kuleta maendeleo, hivyo serikali kwa kushirikiana na makampuni ya simu inaendelea kujenga minara na kuboresha mawasiliano hasa katika maeneo ya mipakani ambapo ndio kuna mwingiliano mkubwa wa mawasiliano, alisema Dr. Yonazi.

Naye Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote Peter Ulanga  alieandamana na Dr. yonazi katika ziara hiyo amesema kuwa, wao kama mfuko wana jukumu la kupeleka mawasiliano katika maeneo ambayo hayana mvuto kibiashara.

Ameongeza kuwa ,  kazi kubwa  iliyopo ni kuyatambua maeneo hayo na kutenga ruzuku kwa kushirikiana na makampuni ya simu ili kuongeza usikivu wa mawasiliano,kuongeza shughuli za kibiashara maeneo ya mpakani  na kuimarisha ulinzi ambapo katika wilaya ya Rombo tayari mradi umefanyika na katika miezi michache ijayo miradi mingine ya kuongeza usikivu katika wilaya itafanyika.

Hata hivyo amesema kuwa eneo kubwa la Rombo lina mlima Kilimanjaro ambao umekuwa kama ukuta na kuzuia mawasiliano kutoka sehemu nyingine, lakini tayari kwa upande wa redio kuna ushirikiano na TBC  kuhakikisha redio za Tanzania zinasikika katika maeneo mbalimbali hivyo wataangalia jinsi ya kuongeza vituo zaidi vya mawasiliano katika wilaya ya Rombo.

Nao viongozi mbalimbali katika wilaya ya Rombo akiwemo katibu tawala wilaya ndugu Abubakar Assenga pamoja na Diwani wa kata ya Motamburu Kitendeni  Mhe. Abdallah Mbago walikiri kuwa mwingiliano wa mawasiliano katika wilaya ya Rombo upo kwa kiwango kikubwa na  baadhi ya maeneo inasoma mitandao ya Kenya na hata redio wanasikiliza za Kenya.

Matangazo

  • MATOKEO YA USAHILI WA WALIOOMBA KAZI YA KUKUSANYA MAPATO NA KAZI YA USAFI August 27, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA VYA HALMASHAURI YA WILAYA YA ROMBO June 14, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA August 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA AJIRA YA MKATABA July 16, 2024
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • ZAID YA SHILINGI MILIONI MIA SITA AROBAINI NA MOJA YA KABIDHIWA KWA VIKUNDI 52

    April 17, 2025
  • ZAID YA SHILINGI MILIONI MIA SITA AROBAINI NA MOJA YA KABIDHIWA KWA VIKUNDI 52

    April 17, 2025
  • Ona Zote

Video

Maafisa Elimu Kata wakizifanyia Majaribio Pikipiki
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Muundo wa Halmashauri
  • Wasiliana Nasi Kwa
  • Miladi iliyokamilika

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • MFUMO WA TAUSI
  • Ffars
  • Tamisemi
  • Idara ya Takwimu (NBS)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Rombo District Council,Mkuu Bomani Street

    Sanduku la Posta: P.o Box 52,Mkuu,Rombo

    Simu: 027-2757101

    Simu ya Mkononi: 027-2757101

    Barua Pepe: ded@rombodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright@2019Rombodc.all rights reserved