• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rombo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mipango na Takwimu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Utumishi na Utawala
      • Afya
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Uchaguzi
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • maji
    • Elimu
    • Watumishi
    • Kilimo
    • Afya
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Mipya
  • Machapisho
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti
    • Taratibu
    • Taarifa za Fedha
      • Taarifa ya makisio ya Mapato
      • Taarifa ya Mapato Halisi
      • Taarifa ya Matumizi
      • MTEF
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba

Wananchi Rombo wahofiwa kula nyama zisizokaguliwa

Posted on: October 16th, 2019

Hofu iliyokuwa miongoni mwa waheshimiwa madiwani juu ya nyama zisizokaguliwa na wataalamu wa mifugo kuuzwa na kuliwa na wananchi imeondolewa baada ya Daktari wa Mifugo Dr Emil Mkemwa kuwahakikishia kuwa nyama zote zinazouzwa kwenye mabucha rasmi zimekaguliwa na ni salama kwa matumizi ya binadamu.

Waheshimiwa madiwani waliibua hoja hiyo katika kikao cha kamati ya uchumi, ujenzi na mazingira, ambapo  walizungumza kwa nyakati tofauti tofauti na kukihakikishia kikao kuwa kuna baadhi ya wafugaji ambapo hujifanya wao ni wataalamu wa mifugo na kuchinja mifugo na kuuzia wananchi bila kukaguliwa na wataalamu kitu ambacho kinahatarisha maisha ya wananchi wa Rombo.

Akijibu hoja hiyo Dr Mkemwa  amesema kuwa japokuwa kuna changamoto ya Idara ya Mifugo kuwa na wataalamu wa Mifugo 15 tu, lakini kwa uchache wao hujipanga na kuhakikisha nyama zote zinazochinjwa na kuuzwa kwenye mabucha rasmi zinakaguliwa na ni salama kwa matumizi ya binadamu.

Hata hivyo ameomba ushirikiano baina ya wataalamu wa mifugo  na waheshimiwa madiwani  kupeana taarifa iwapo kuna wafugaji na wafanyabiashara wasio waaminifu katika maeneo yao,  ambao wanawakwepa wataalamu wa mifugo na kuchinja mifugo inayoumwa bila kujua imeumwa nini au kuuza nyama ya mizoga ili hatua stahiki zichukuliwe.

Akizungumza katika kikao hicho Mhe. Athuman  Kimaryo  diwani wa kata ya  Mrao Keryo amesema kuwa  kiuhalisia bado wananchi wengi wanakula nyama ambayo haijakaguliwa kwasababu  kuna wananchi wanachinja saa 9 usiku na ikifika saa 11 alfajiri nyama imeshauzwa imemalizika na pindi mtaalamu wa mifugo akifika hakuti kitu, hivyo tatizo kubwa analoliona hapo ni uhaba wa wataalamu  na baadhi yao si waaminifu.

Naye diwani wa Kata ya Tarakea  Motamburu Mhe. Beda  Moshi amesema kuwa sio rahisi kwa wataalamu kuwapitia wananchi wote hata kama wakiwepo wanne katika kata moja kwasababu kila mtu anachinjia nyumbani tena wanyama wanaochinjwa ni tofauti tofauti hivyo bado usalama wa nyama zinazoliwa na wananchi ni mdogo  ila anaona ingekuwa vyema kama kungekuwa na centre  maalumu ya kuchinjia ingekuwa rahisi zaidi kufanyiwa ukaguzi.

Matangazo

  • MATOKEO YA USAHILI WA WALIOOMBA KAZI YA KUKUSANYA MAPATO NA KAZI YA USAFI August 27, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA VYA HALMASHAURI YA WILAYA YA ROMBO June 14, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA August 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA AJIRA YA MKATABA July 16, 2024
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • ZAID YA SHILINGI MILIONI MIA SITA AROBAINI NA MOJA YA KABIDHIWA KWA VIKUNDI 52

    April 17, 2025
  • ZAID YA SHILINGI MILIONI MIA SITA AROBAINI NA MOJA YA KABIDHIWA KWA VIKUNDI 52

    April 17, 2025
  • Ona Zote

Video

Maafisa Elimu Kata wakizifanyia Majaribio Pikipiki
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Muundo wa Halmashauri
  • Wasiliana Nasi Kwa
  • Miladi iliyokamilika

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • MFUMO WA TAUSI
  • Ffars
  • Tamisemi
  • Idara ya Takwimu (NBS)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Rombo District Council,Mkuu Bomani Street

    Sanduku la Posta: P.o Box 52,Mkuu,Rombo

    Simu: 027-2757101

    Simu ya Mkononi: 027-2757101

    Barua Pepe: ded@rombodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright@2019Rombodc.all rights reserved