• Contact us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Rombo District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • ujenzi
      • maji
      • Planning and Statitics
      • Livestock and Fishing
      • Community DEvelopment
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Ellimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Land and natural Resources
      • Human Resource and Administration
      • Health
    • Unit
      • ICT
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Law
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
    • Organisation Structure
  • Investiment Opportunities
    • Vivutio vya utalii
    • Industry
  • Our Services
    • Water
    • Elimu
    • Watumishi
    • Kilimo
    • Health
    • Mifugo
  • Councillors
    • List of Councillors
    • Permanent Commitees
    • Scheduals of Legal sessions
  • Projects
    • Completed projects
    • Ongoing projects
    • New Project
  • Publications
    • Forms
    • Acts
    • Report
    • Taratibu
    • Taarifa za Fedha
      • Taarifa ya makisio ya Mapato
      • Taarifa ya Mapato Halisi
      • Taarifa ya Matumizi
      • MTEF
    • Guidelines
  • Media Centre
    • Videos
    • News
    • Press Releae
    • Photo Gallery
    • Speech

ZIARA YA MKUU WA MKOA

Posted on: June 1st, 2023

Uongozi wa Mkoa wa Kilimanjaro ukiongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Nurdin Babu, Katibu Tawala wa Mkoa Tixon Nzunda Pamoja  na Kamati ya Ulinzi na Usalama Juni 1 wamefanya ziara ya kukagua miradi ya maendeleo katika Halamashauri ya Wilaya ya Rombo. 

Ziara hiyo ililenga katika kuhakiki thamani ya miradi husika na kupata ripoti kamili kuhusu  miradi hiyo. Jumla ya miradi nane ya maendeleo ilitembelewa ambapo baadhi ilionekana kuwa na dosari.  

Katibu Tawala wa Mkoa wa Kilimanjaro Tixon Nzunda  ametoa wito kwa Mkurugenzi wa Halmashauri pamoja na Wakuu wa Idara  kuhakikisha wanazitafutia ufumbuzi changamoto hizo ndani ya siku saba. Pia amesisitiza upatikanaji wa taarifa kamili za kila mradi kuanzia  siku mradi ulipoanza hadi ulipifikia pamoja na majibu ya vipimo vya material yote yaliyotumika kuambatishwa na   kuagiza taarifa hizo  zitumwe mkoani ndani ya siku saba.

Aidha, Bw. Nzunda aliwasisitiza wajumbe juu ya uwajibikaji katika kutekeleza majukumu yao hususani yale yanayohusu miradi ya maendeleo na kuwaeleza kuwa endapo atabaini tena dosari na  uzembe wa aina yoyoye  katika miradi hiyo basi hatua kali za kisheria zitachukuliwa kwa wahusika .

Kwa  upande wake Mkuu wa Wilaya ya Rombo Mhe. Kanali Hamisi Maiga  aliushukuru uongozi wa Mkoa  kwa kufika katika Wilaya yake na kuahidi kufanyiwa kazi kwa changamoto zote zilizojitokeza kwa  kushirikiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Halamsashauri.

Cc. Afisa Mawasiliano na Uhusiano Serikalini


Matangazo

  • MATOKEO YA USAHILI WA WALIOOMBA KAZI YA KUKUSANYA MAPATO NA KAZI YA USAFI August 27, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA VYA HALMASHAURI YA WILAYA YA ROMBO June 14, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA August 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA AJIRA YA MKATABA July 16, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI.

    May 29, 2025
  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • ZAID YA SHILINGI MILIONI MIA SITA AROBAINI NA MOJA YA KABIDHIWA KWA VIKUNDI 52

    April 17, 2025
  • View All

Videos

Maafisa Elimu Kata wakizifanyia Majaribio Pikipiki
More Videos

Kurasa za haraka

  • Muundo wa Halmashauri
  • Wasiliana Nasi Kwa
  • Miladi iliyokamilika

Kurasa za karibu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • MFUMO WA TAUSI
  • Ffars
  • Tamisemi
  • Idara ya Takwimu (NBS)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact us

    Rombo District Council,Mkuu Bomani Street

    Sanduku la Posta: P.o Box 52,Mkuu,Rombo

    simu: 027-2757101

    Mobile: 027-2757101

    staff mail: ded@rombodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Copyright@2019Rombodc.all rights reserved