• Contact us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Rombo District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • ujenzi
      • maji
      • Planning and Statitics
      • Livestock and Fishing
      • Community DEvelopment
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Ellimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Land and natural Resources
      • Human Resource and Administration
      • Health
    • Unit
      • ICT
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Law
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
    • Organisation Structure
  • Investiment Opportunities
    • Vivutio vya utalii
    • Industry
  • Our Services
    • Water
    • Elimu
    • Watumishi
    • Kilimo
    • Health
    • Mifugo
  • Councillors
    • List of Councillors
    • Permanent Commitees
    • Scheduals of Legal sessions
  • Projects
    • Completed projects
    • Ongoing projects
    • New Project
  • Publications
    • Forms
    • Acts
    • Report
    • Taratibu
    • Taarifa za Fedha
      • Taarifa ya makisio ya Mapato
      • Taarifa ya Mapato Halisi
      • Taarifa ya Matumizi
      • MTEF
    • Guidelines
  • Media Centre
    • Videos
    • News
    • Press Releae
    • Photo Gallery
    • Speech

Vyeti vya FDC kupewa Tuzo inayotambulika na NACTE

Posted on: October 13th, 2018

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia Dkt AveMaria Semakafu (waliokaa katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na wahitimu wa chuo cha FDC Mamtukuna kushoto kwake ni Rigamba Mwita kaimu mkuu wa Chuo na Kulia ni Magreth John Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Rombo

Dkt AveMaria Semakafu Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia amesema vyuo vyote vya maendeleo ya wananchi  (VMW) maarufu kama FDC(Folk Development College) ambavyo vyeti vyake vilikuwa havitambuliki na NACTE mchakato unaendelea na hivi karibuni vyuo hivyo vitaanza kutoa Tuzo zinazotambuliwa na NACTE.

Akizungumza katika mahafali ya 30 ya Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Mamtukuna Dkt Semakafu amesema kuwa vyuo vya FDC vimerithiwa na kuwa chini ya wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia toka mwezi wa pili mwaka jana na ahadi ni kuwa kabla ya mwaka mpya wa masomo kuanza, Tuzo halali zitakuwa zimepatikana na hata kwa wale waliokwishahitimu zitafanyiwa ulinganifu ili  vyeti vyao viweze kupatiwa tuzo zinazotambulika.

“Ukishoka ndani ya Wizara haukubaliki  na maelekezo yamekwishatolewa kwa NACTE na wameshawasilisha andiko la kwanza na muda si mrefu Wizara itakutana nao kupokea wasilisho , ili vyeti vinavyotolewa na vyuo vyote vya FDC  vipewe tuzo inayotambulika na kuwarahisishia wahitimu kujiendeleza mpaka hatua ya shahada”, alisema Semakafu

Naye kaimu mkuu wa chuo cha maendeleo ya wananchi mamtukuna ndg Rigamba Mwita aliwasilisha changamoto ya uhaba wa wakufunzi katika baadhi ya fani kama vile fani ya uchoraji hivyo kuomba wizara iwasaidie kutatua changamoto hiyo.

Akijibu hoja hiyo Dkt Semakafu amesema kuwa wizara imejizatiti chini ya kurugenzi ya ufundi yenye kurugenzi saidizi inayoshughulika na FDC pekee, tayari wameshaona upungufu uliopo wa wakufunzi kulingana na fani zilizopo na linafanyiwa kazi na kushughulikiwa hatua kwa hatua.

Mpaka sasa jumla ya vyuo 54 vya FDC vipo chini ya Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia , pamoja na TTC 35, wadhibiti ubora kila wilaya, wadhibiti ubora kanda na wizarani.


Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia Dkt AveMaria Semakafu akitoka eneo la mahafali huku akicheza mziki wa furaha


Matangazo

  • MATOKEO YA USAHILI WA WALIOOMBA KAZI YA KUKUSANYA MAPATO NA KAZI YA USAFI August 27, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA VYA HALMASHAURI YA WILAYA YA ROMBO June 14, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA August 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA AJIRA YA MKATABA July 16, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI.

    May 29, 2025
  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • ZAID YA SHILINGI MILIONI MIA SITA AROBAINI NA MOJA YA KABIDHIWA KWA VIKUNDI 52

    April 17, 2025
  • View All

Videos

Maafisa Elimu Kata wakizifanyia Majaribio Pikipiki
More Videos

Kurasa za haraka

  • Muundo wa Halmashauri
  • Wasiliana Nasi Kwa
  • Miladi iliyokamilika

Kurasa za karibu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • MFUMO WA TAUSI
  • Ffars
  • Tamisemi
  • Idara ya Takwimu (NBS)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact us

    Rombo District Council,Mkuu Bomani Street

    Sanduku la Posta: P.o Box 52,Mkuu,Rombo

    simu: 027-2757101

    Mobile: 027-2757101

    staff mail: ded@rombodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Copyright@2019Rombodc.all rights reserved