• Contact us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Rombo District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • ujenzi
      • maji
      • Planning and Statitics
      • Livestock and Fishing
      • Community DEvelopment
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Ellimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Land and natural Resources
      • Human Resource and Administration
      • Health
    • Unit
      • ICT
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Law
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
    • Organisation Structure
  • Investiment Opportunities
    • Vivutio vya utalii
    • Industry
  • Our Services
    • Water
    • Elimu
    • Watumishi
    • Kilimo
    • Health
    • Mifugo
  • Councillors
    • List of Councillors
    • Permanent Commitees
    • Scheduals of Legal sessions
  • Projects
    • Completed projects
    • Ongoing projects
    • New Project
  • Publications
    • Forms
    • Acts
    • Report
    • Taratibu
    • Taarifa za Fedha
      • Taarifa ya makisio ya Mapato
      • Taarifa ya Mapato Halisi
      • Taarifa ya Matumizi
      • MTEF
    • Guidelines
  • Media Centre
    • Videos
    • News
    • Press Releae
    • Photo Gallery
    • Speech

Umeme Rombo 100%

Posted on: November 8th, 2019

Nia ya serikali ya kufikisha umeme katika kila kijiji imeshatimia katika wilaya ya Rombo ambapo mpaka sasa asilimia mia moja (100%) ya  kata zote na vijiji vyake  vimeshaguswa na umeme.

Hayo yamezungumzwa na Meneja wa TANESCO wilaya ya Rombo  Eng. Hassan Lumuli katika kikao cha baraza la madiwani  tarehe 8 Novemba 2019 kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya wilaya.

Aidha ameeleza kuwa  kwa kipindi cha kuanzia Januari  hadi Oktoba 31, mwaka huu , jumla ya wananchi  2,842 wameunganishiwa  na huduma hiyo  ,huku  jumla kuu  mpaka kufikia Oktoba 31,2019 wananchi  25,346  wameunganishiwa umeme , ikiwa ni idadi ya nyumba/kaya  zilizounganishwa.

Pamoja na hilo ameliambia baraza kuwa wananchi ambao bado hawajaunganishiwa umeme, wanaweza kuunganishwa na huduma hiyo kwa bei elekezi ya serikali ya shilingi 27000 tu kwa maeneo ya vijijini.

 Katika hatua nyingine  Eng. Lumuli ametoa rai kwa wananchi kutokuwa na hofu ya kufungua viwanda kwa sababu TANESCO  Rombo bado ina uwezo wa kuwahudumia , ikiwa na kiasi Megawatt  1.5 za  umeme ambao hauna matumizi  ,ambapo  Matumizi makubwa ya umeme katika Wilaya ya Rombo ni Megawat 3.0, lakini Uwezo  wa line ya kulisha umeme ni Megawat 4.5. 

Matangazo

  • MATOKEO YA USAHILI WA WALIOOMBA KAZI YA KUKUSANYA MAPATO NA KAZI YA USAFI August 27, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA VYA HALMASHAURI YA WILAYA YA ROMBO June 14, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA August 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA AJIRA YA MKATABA July 16, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI.

    May 29, 2025
  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • ZAID YA SHILINGI MILIONI MIA SITA AROBAINI NA MOJA YA KABIDHIWA KWA VIKUNDI 52

    April 17, 2025
  • View All

Videos

Maafisa Elimu Kata wakizifanyia Majaribio Pikipiki
More Videos

Kurasa za haraka

  • Muundo wa Halmashauri
  • Wasiliana Nasi Kwa
  • Miladi iliyokamilika

Kurasa za karibu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • MFUMO WA TAUSI
  • Ffars
  • Tamisemi
  • Idara ya Takwimu (NBS)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact us

    Rombo District Council,Mkuu Bomani Street

    Sanduku la Posta: P.o Box 52,Mkuu,Rombo

    simu: 027-2757101

    Mobile: 027-2757101

    staff mail: ded@rombodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Copyright@2019Rombodc.all rights reserved