• Contact us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Rombo District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • ujenzi
      • maji
      • Planning and Statitics
      • Livestock and Fishing
      • Community DEvelopment
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Ellimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Land and natural Resources
      • Human Resource and Administration
      • Health
    • Unit
      • ICT
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Law
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
    • Organisation Structure
  • Investiment Opportunities
    • Vivutio vya utalii
    • Industry
  • Our Services
    • Water
    • Elimu
    • Watumishi
    • Kilimo
    • Health
    • Mifugo
  • Councillors
    • List of Councillors
    • Permanent Commitees
    • Scheduals of Legal sessions
  • Projects
    • Completed projects
    • Ongoing projects
    • New Project
  • Publications
    • Forms
    • Acts
    • Report
    • Taratibu
    • Taarifa za Fedha
      • Taarifa ya makisio ya Mapato
      • Taarifa ya Mapato Halisi
      • Taarifa ya Matumizi
      • MTEF
    • Guidelines
  • Media Centre
    • Videos
    • News
    • Press Releae
    • Photo Gallery
    • Speech

Ukitoroka umeshindwa Vita

Posted on: July 2nd, 2018

Picha kwa hisani ya Mtandao

Vita dhidi ya janga la UKIMWI inajumuisha kupima ili kujua hali ya afya yako, kujihadhari na maambukizi, pamoja na kutumia dawa za kupunguza makali ya Virusi vya UKIMWI na UKIMWI bado inaendelea huku watu wengi hawataki kupima afya zao, wanakimbia majibu na wengine wanatoroka huduma za dawa.

Harakati za kupambana na gonjwa la UKIMWI wilayani Rombo zinaendelea kupitia huduma mbalimbali zinazotolewa katika vituo 41 vinavyotoa huduma za upimaji, vikiwemo vituo 7 vinavyotoa huduma za dawa za kupunguza makali ya UKIMWI, Hospitali 2,Vituo vya Afya 4 na Zahanati 1.

Hata hivyo takwimu zinaonesha kuwa watu wenye umri kati ya miaka 25-49 ndio wanaopata zaidi maambukizi ya virusi vya UKIMWI,ambapo katika kipindi cha April-June kati ya wanaume 207 waliopima kwa hiyari wanne(4) walikutwa na maambukizi na wanawake sita(6) kati ya 254 .

Kwa upande wa waliopima kwa ushawishi wanaume 16 kati ya 442 walikutwa na maambukizi na wanawake 32 kati ya 796,  wanawake wajawazito waliopimwa ni 1583 na 13 walikutwa na maambukizi sawa na asilimia 0.8

Hali halisi ya wateja walioorodheshwa toka huduma ilipoanza mwaka 2005 mpaka june 2018 ni 6104, Katika kipindi cha April-June 2018 waliopata huduma ni 2844,walioko kwenye dawa ni 2833,wateja wapya walioandikishwa ni 107, walionzishiwa dawa ni 108, waliotoroka huduma ni 77 na waliofariki ni 28.

Kamati ya ya kudhibiti UKIMWI wilaya ya Rombo imeagiza taasisi na Asasi zote zinazojishughulisha na shughuli za kupambana na UKIMWI  kuhakikisha zinaandaa taarifa zao za utekelezaji wa shughuli wanazozifanya na kuziwasilisha kwenye kikao.



Matangazo

  • MATOKEO YA USAHILI WA WALIOOMBA KAZI YA KUKUSANYA MAPATO NA KAZI YA USAFI August 27, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA VYA HALMASHAURI YA WILAYA YA ROMBO June 14, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA August 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA AJIRA YA MKATABA July 16, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI.

    May 29, 2025
  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • ZAID YA SHILINGI MILIONI MIA SITA AROBAINI NA MOJA YA KABIDHIWA KWA VIKUNDI 52

    April 17, 2025
  • View All

Videos

Maafisa Elimu Kata wakizifanyia Majaribio Pikipiki
More Videos

Kurasa za haraka

  • Muundo wa Halmashauri
  • Wasiliana Nasi Kwa
  • Miladi iliyokamilika

Kurasa za karibu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • MFUMO WA TAUSI
  • Ffars
  • Tamisemi
  • Idara ya Takwimu (NBS)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact us

    Rombo District Council,Mkuu Bomani Street

    Sanduku la Posta: P.o Box 52,Mkuu,Rombo

    simu: 027-2757101

    Mobile: 027-2757101

    staff mail: ded@rombodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Copyright@2019Rombodc.all rights reserved