• Contact us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Rombo District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • ujenzi
      • maji
      • Planning and Statitics
      • Livestock and Fishing
      • Community DEvelopment
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Ellimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Land and natural Resources
      • Human Resource and Administration
      • Health
    • Unit
      • ICT
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Law
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
    • Organisation Structure
  • Investiment Opportunities
    • Vivutio vya utalii
    • Industry
  • Our Services
    • Water
    • Elimu
    • Watumishi
    • Kilimo
    • Health
    • Mifugo
  • Councillors
    • List of Councillors
    • Permanent Commitees
    • Scheduals of Legal sessions
  • Projects
    • Completed projects
    • Ongoing projects
    • New Project
  • Publications
    • Forms
    • Acts
    • Report
    • Taratibu
    • Taarifa za Fedha
      • Taarifa ya makisio ya Mapato
      • Taarifa ya Mapato Halisi
      • Taarifa ya Matumizi
      • MTEF
    • Guidelines
  • Media Centre
    • Videos
    • News
    • Press Releae
    • Photo Gallery
    • Speech

Ujenzi wa Hospitali ya Wilaya kuboresha miundombinu kijiji cha Kiwanda

Posted on: November 2nd, 2018

Ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Rombo katika kijiji cha Kiwanda kata ya Kirongo Samanga utasaidia kuboresha miundombinu muhimu na kwa haraka kutokana na umuhimu wake katika ujenzi wa Hospitali ikiwa ni pamoja na maji, umeme na  barabara.

 Kamati ya ulinzi na usalama wilaya ikiongozwa na Mhe Mkuu wa wilaya , Mkurugenzi Mtendaji na timu yake pamoja na Waheshimiwa Madiwani wakiongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri walifanya mkutano na wananchi wa kata hiyo katika kijiji cha kiwanda kwa lengo la kusikiliza kero zao na kuwapa taarifa rasmi ya ujenzi wa hospitali ya wilaya  katika kijiji hicho.

Katika mawasilisho ya kero na mahitaji yaliyoombwa kwa wingi na wananchi ni shida ya maji, umeme, shule ya msingi, ujenzi wa kituo cha polisi uliosimama kwa muda mrefu. Pamoja na hayo pia waliridhia na kushukuru ujenzi wa Hospitali ya wilaya katika kijiji hiko kwani walikuwa wanatembea umbali mrefu kufuata huduma za afya.

Mkuu wa wilaya ya Rombo Mhe.Agnes Hokororo akizungumza na wananchi wa kirongo samanga aliwahakikishia maji lazima yafike kirongo samanga hasa kiwanda, japo kulikuwa na mpango wa muda mrefu wa kuleta maji kutoka ziwa Chala lakini kutokana na dharura ya ujenzi wa hospitali chanzo kingine cha kinyasini kilichopo katika hifadhi ya Kinapa kitatumika na tayari vibali vimeshatolewa hivyo taratibu za kuleta maji Kiwanda zimeshaanza.

Miundombinu mingine ambayo Mhe.Hokororo aliiongelea itakayoambatana na ujenzi wa hospitali ni pamoja na barabara ambazo ni lazima ziwepo kwa ajili ya magari ya wagonjwa na wananchi kuingia na kutoka Hospitali, umeme pia ni muhimu katika hospitali lakini pia wananchi wanatakiwa kujiorodhesha katika sehemu zenye kaya zaidi ya 10 ili waweze kupata nishati hiyo muhimu.

Ombi la ujenzi wa shule ya msingi na umaliziaji wa kituo cha polisi lilichukuliwa na kuahidiwa kufanyiwa kazi na kutokana na umuhimu wa huduma hizo, zitatekelezeka.

 

Matangazo

  • MATOKEO YA USAHILI WA WALIOOMBA KAZI YA KUKUSANYA MAPATO NA KAZI YA USAFI August 27, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA VYA HALMASHAURI YA WILAYA YA ROMBO June 14, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA August 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA AJIRA YA MKATABA July 16, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI.

    May 29, 2025
  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • ZAID YA SHILINGI MILIONI MIA SITA AROBAINI NA MOJA YA KABIDHIWA KWA VIKUNDI 52

    April 17, 2025
  • View All

Videos

Maafisa Elimu Kata wakizifanyia Majaribio Pikipiki
More Videos

Kurasa za haraka

  • Muundo wa Halmashauri
  • Wasiliana Nasi Kwa
  • Miladi iliyokamilika

Kurasa za karibu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • MFUMO WA TAUSI
  • Ffars
  • Tamisemi
  • Idara ya Takwimu (NBS)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact us

    Rombo District Council,Mkuu Bomani Street

    Sanduku la Posta: P.o Box 52,Mkuu,Rombo

    simu: 027-2757101

    Mobile: 027-2757101

    staff mail: ded@rombodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Copyright@2019Rombodc.all rights reserved