• Contact us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Rombo District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • ujenzi
      • maji
      • Planning and Statitics
      • Livestock and Fishing
      • Community DEvelopment
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Ellimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Land and natural Resources
      • Human Resource and Administration
      • Health
    • Unit
      • ICT
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Law
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
    • Organisation Structure
  • Investiment Opportunities
    • Vivutio vya utalii
    • Industry
  • Our Services
    • Water
    • Elimu
    • Watumishi
    • Kilimo
    • Health
    • Mifugo
  • Councillors
    • List of Councillors
    • Permanent Commitees
    • Scheduals of Legal sessions
  • Projects
    • Completed projects
    • Ongoing projects
    • New Project
  • Publications
    • Forms
    • Acts
    • Report
    • Taratibu
    • Taarifa za Fedha
      • Taarifa ya makisio ya Mapato
      • Taarifa ya Mapato Halisi
      • Taarifa ya Matumizi
      • MTEF
    • Guidelines
  • Media Centre
    • Videos
    • News
    • Press Releae
    • Photo Gallery
    • Speech

"Tuwasikilize na kuwashauri watoto wasitumie dawa za kulevya",Mwenge wa Uhuru 2018

Posted on: September 30th, 2018

Mhe.Mkuu wa Wilaya ya Rombo Agnes Hokororo(Kulia) akipokea Mwenge wa Uhuru Kutoka kwa Mhe.Mkuu wa Wilaya ya Siha Onesmo Buswelu(Kushoto)

Mwenge wa uhuru 2018 umepokelewa wilaya ya Rombo tarehe 30 Septemba na kufanikiwa kutembelea, kufungua, kuzindua na kuweka mawe ya msingi  katika miradi ya maendeleo yenye thamani ya fedha za kitanzania  Sh.1,359,419,048.70 ambapo kati ya miradi iliyozinduliwa ni kikundi cha kupambana na madawa ya kulevya shule ya sekondari Tarakea.

Akizindua kikundi hicho, Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Mhandisi Charles Francis Kabeho aliridhishwa na ufahamu mpana waliouonesha vijana hao juu ya madawa ya kulevya, visababishi vya kutumia madawa pamoja na athari zake.

“Ninachukua fursa hii kuwapongeza vijana hawa wanafunzi, kwa kuhakikisha wanakuwa na kikundi cha kuendesha mapambano dhidi ya dawa za kulevya, vijana wameiva, wamefundishika na wameelewa.” Alisema Kabeho

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa  Mhandisi Charles Francis Kabeho akizungumza na kikundi cha kupambana na dawa za kulevya shule ya sekondari Tarakea

Aidha elimu dhidi ya dawa za kulevya katika wilaya ya Rombo inaendelea kutolewa kupitia makundi mbalimbali wakimemo vijana,wanafunzi, polisi jamii, na viongozi wa dini kwa lengo la kukemea na kuondosha uuzaji,usafirishaji na utumiaji wa dawa za kulevya .

Akisoma Risala ya utii ya wananchi  wa wilaya ya Rombo kwa Mhe.Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dk John Pombe Magufuli, Katibu Tawala (W) Abubakari Assenga amesema kuwa katika kipindi cha Januari hadi Agosti mwaka huu wilaya imefanikiwa kukamata dawa za kulevya aina ya bangi na mirungi, ambapo watuhumiwa 38 kati yao wanawake watatu walikamatwa na kufikishwa mahakamani.

Sambamba na hilo, Mhandisi Kabeho alipata fursa ya kutoa ujumbe wa Mbio Za Mwenge ambapo alisema kuwa kauli Mbiu ya Mwenge wa Uhuru mwaka huu inawakumbusha watanzania kuwekeza katika elimu, na serikali ya awamu ya tano imewekeza sana katika miundombinu ya elimu hivyo wazazi na walezi wahakikishe wanawapatia watoto mahitaji yote muhimu bila kusahau uchangiaji wa chakula shuleni.




Matangazo

  • MATOKEO YA USAHILI WA WALIOOMBA KAZI YA KUKUSANYA MAPATO NA KAZI YA USAFI August 27, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA VYA HALMASHAURI YA WILAYA YA ROMBO June 14, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA August 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA AJIRA YA MKATABA July 16, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI.

    May 29, 2025
  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • ZAID YA SHILINGI MILIONI MIA SITA AROBAINI NA MOJA YA KABIDHIWA KWA VIKUNDI 52

    April 17, 2025
  • View All

Videos

Maafisa Elimu Kata wakizifanyia Majaribio Pikipiki
More Videos

Kurasa za haraka

  • Muundo wa Halmashauri
  • Wasiliana Nasi Kwa
  • Miladi iliyokamilika

Kurasa za karibu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • MFUMO WA TAUSI
  • Ffars
  • Tamisemi
  • Idara ya Takwimu (NBS)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact us

    Rombo District Council,Mkuu Bomani Street

    Sanduku la Posta: P.o Box 52,Mkuu,Rombo

    simu: 027-2757101

    Mobile: 027-2757101

    staff mail: ded@rombodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Copyright@2019Rombodc.all rights reserved