• Contact us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Rombo District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • ujenzi
      • maji
      • Planning and Statitics
      • Livestock and Fishing
      • Community DEvelopment
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Ellimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Land and natural Resources
      • Human Resource and Administration
      • Health
    • Unit
      • ICT
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Law
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
    • Organisation Structure
  • Investiment Opportunities
    • Vivutio vya utalii
    • Industry
  • Our Services
    • Water
    • Elimu
    • Watumishi
    • Kilimo
    • Health
    • Mifugo
  • Councillors
    • List of Councillors
    • Permanent Commitees
    • Scheduals of Legal sessions
  • Projects
    • Completed projects
    • Ongoing projects
    • New Project
  • Publications
    • Forms
    • Acts
    • Report
    • Taratibu
    • Taarifa za Fedha
      • Taarifa ya makisio ya Mapato
      • Taarifa ya Mapato Halisi
      • Taarifa ya Matumizi
      • MTEF
    • Guidelines
  • Media Centre
    • Videos
    • News
    • Press Releae
    • Photo Gallery
    • Speech

Tutambuane,rangi ya ngozi si Utanzania-DC Rombo

Posted on: July 6th, 2018

Wananchi wilayani Rombo wameshauriwa kutambuana na kutoa taarifa za wageni waliopo majumbani mwao pamoja na majirani zao kwa wenyeviti wa vitongoji na mabalozi, kwa ajili ya usalama wao na mali zao.

Hayo aliyasema Mkuu wa Wilaya ya Rombo Bi Agness Hokororo alipokuwa anazindua zoezi la kugawa vitambulisho vya taifa kwa wananchi katika Tarafa ya Usseri, Kata ya Kirongo Samanga .

“Hakikisha una taarifa za kutosha za jirani yako, rangi ya ngozi tu si kigezo cha utanzania,matishio ya uvunjifu wa amani yamekuwa mengi”,alisema Hokororo

Aliongeza kuwa wanaopaswa kupewa vitambulisho vya taifa ni watanzania wa kuzaliwa,kurithi na kuandikishwa na ikibainika kuna mtu asiye na sifa amepewa kitambulisho basi uongozi wote wa eneo husika utachukuliwa hatua za kisheria, kwa sababu picha zilibandikwa katika maeneo yao kwa ajili ya uhakiki na kutoa pingamizi kwa wasio na sifa.

Tunaelekea kwenye mfumo ambao ili kupata huduma za msingi lazima tutatakiwa kutambuliwa,hasa kwa tunaoishi eneo la karibu na mpaka kuna uwezekano mkubwa wa huduma nyingi za msingi kuwanufaisha watu wa nchi jirani kuliko sisi wenyewe, hivyo kila mtu aone thamani ya kitambulisho cha Taifa kilichotengenezwa kwa fedha za mlipa kodi, alimalizia Hokororo.

Naye afisa Usajili wa Vitambulisho vya Taifa (W) Bi Janeth Shayo alisema mpaka sasa asilimia 81.3 ya wananchi wa Rombo wameshasajiliwa toka zoezi lianze tarehe 10/11/2017 kwa matarajio ya kusajili wananchi wapatao 103,586 lakini  ni wananchi 84,181 tu ndio wamesajiliwa.



Matangazo

  • MATOKEO YA USAHILI WA WALIOOMBA KAZI YA KUKUSANYA MAPATO NA KAZI YA USAFI August 27, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA VYA HALMASHAURI YA WILAYA YA ROMBO June 14, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA August 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA AJIRA YA MKATABA July 16, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI.

    May 29, 2025
  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • ZAID YA SHILINGI MILIONI MIA SITA AROBAINI NA MOJA YA KABIDHIWA KWA VIKUNDI 52

    April 17, 2025
  • View All

Videos

Maafisa Elimu Kata wakizifanyia Majaribio Pikipiki
More Videos

Kurasa za haraka

  • Muundo wa Halmashauri
  • Wasiliana Nasi Kwa
  • Miladi iliyokamilika

Kurasa za karibu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • MFUMO WA TAUSI
  • Ffars
  • Tamisemi
  • Idara ya Takwimu (NBS)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact us

    Rombo District Council,Mkuu Bomani Street

    Sanduku la Posta: P.o Box 52,Mkuu,Rombo

    simu: 027-2757101

    Mobile: 027-2757101

    staff mail: ded@rombodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Copyright@2019Rombodc.all rights reserved