• Contact us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Rombo District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • ujenzi
      • maji
      • Planning and Statitics
      • Livestock and Fishing
      • Community DEvelopment
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Ellimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Land and natural Resources
      • Human Resource and Administration
      • Health
    • Unit
      • ICT
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Law
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
    • Organisation Structure
  • Investiment Opportunities
    • Vivutio vya utalii
    • Industry
  • Our Services
    • Water
    • Elimu
    • Watumishi
    • Kilimo
    • Health
    • Mifugo
  • Councillors
    • List of Councillors
    • Permanent Commitees
    • Scheduals of Legal sessions
  • Projects
    • Completed projects
    • Ongoing projects
    • New Project
  • Publications
    • Forms
    • Acts
    • Report
    • Taratibu
    • Taarifa za Fedha
      • Taarifa ya makisio ya Mapato
      • Taarifa ya Mapato Halisi
      • Taarifa ya Matumizi
      • MTEF
    • Guidelines
  • Media Centre
    • Videos
    • News
    • Press Releae
    • Photo Gallery
    • Speech

Serikali kuboresha usikivu wa TBC Rombo

Posted on: January 13th, 2020

Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo  Dkt. Harrison Mwakyembe  amefanya ziara wilayani Rombo na kukagua usikivu wa matangazo ya Shirika la Utangazaji la Taifa(TBC) , ikiwa ni pamoja na kutembelea mtambo wa kurushia matangazo uliopo katika eneo la Tarakea.

Dkt .Mwakyembe amesema kuwa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ibara ya 18 E imeweka wazi  jukumu la serikali kuhakikisha wananchi wanapata taarifa. Na kwa kutambua hilo wizara kwa kushirikiana na sekta ya mawasiliano iliunda timu iliyopita kukagua maeneo yote ya mipakani ambayo ndio yenye shida ya kupata usikivu na kukuta wanasikiliza redio za nchi jirani.

Baada ya kupita timu hiyo Dkt Mwakyembe amesema kuwa changamoto za usikivu zilitatuliwa katika maeneo mengi lakini bado serikali iliendelea kupata malalamiko katika maeneo ya Rombo na Loliondo na baada ya timu ya pili kupita pia iligundua bado maeneo hayo hayana usikivu.

‘Kwa  wilaya ya Rombo ni lazima kufanya uwekezaji zaidi, kwa kuweka Mtambo zaidi ya mmoja na kuuongezea nguvu Mtambo wa kurushia matangazo uliopo Moshi ili eneo lote la Rombo lipate usikivu wa TBC’, amesema Dkt. Mwakyembe.

Akizungumza kwa niaba ya Mtendaji Mkuu wa TBC, Mhandisi  wa Ufundi Upendo Mbelle amekiri kuwepo kwa changamoto ya usikivu katika baadhi ya maeneo baada ya Shirika kufanya ukaguzi wa mitambo na kubaini changamoto ya kila mtambo.

 Ameongeza kuwa TBC imejipanga kufanya maboresho katika mitambo yao na tayari vifaa vyote vinavyotakiwa vimeshanunuliwa, kwa sasa vinafanyiwa uhakiki na ndani ya miezi mitatu kazi ya maboresho itakuwa imekamilika.

Aidha kwa upande wa wilaya ya Rombo Mhandisi Mbelle amesema kuwa maboresho yatafanyika katika mtambo wa kurushia matangazo uliopo Moshi ili usikivu ufike mpaka eneo la Holili, na vilevile wataongeza mtambo mwingine katika eneo la Mkuu ili eneo lote la Rombo lipate usikivu.

Awali akimkaribisha Dkt Mwakyembe , Mkuu wa wilaya ya Rombo Agness Hokororo amesema kuwa kero kubwa kwa wananchi wa Rombo baada ya Maji ni mawasiliano, kitu kinachoweza kupelekea watu kupashana habari zisizo sahihi.

Matangazo

  • MATOKEO YA USAHILI WA WALIOOMBA KAZI YA KUKUSANYA MAPATO NA KAZI YA USAFI August 27, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA VYA HALMASHAURI YA WILAYA YA ROMBO June 14, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA August 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA AJIRA YA MKATABA July 16, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI.

    May 29, 2025
  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • ZAID YA SHILINGI MILIONI MIA SITA AROBAINI NA MOJA YA KABIDHIWA KWA VIKUNDI 52

    April 17, 2025
  • View All

Videos

Maafisa Elimu Kata wakizifanyia Majaribio Pikipiki
More Videos

Kurasa za haraka

  • Muundo wa Halmashauri
  • Wasiliana Nasi Kwa
  • Miladi iliyokamilika

Kurasa za karibu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • MFUMO WA TAUSI
  • Ffars
  • Tamisemi
  • Idara ya Takwimu (NBS)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact us

    Rombo District Council,Mkuu Bomani Street

    Sanduku la Posta: P.o Box 52,Mkuu,Rombo

    simu: 027-2757101

    Mobile: 027-2757101

    staff mail: ded@rombodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Copyright@2019Rombodc.all rights reserved