• Contact us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Rombo District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • ujenzi
      • maji
      • Planning and Statitics
      • Livestock and Fishing
      • Community DEvelopment
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Ellimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Land and natural Resources
      • Human Resource and Administration
      • Health
    • Unit
      • ICT
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Law
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
    • Organisation Structure
  • Investiment Opportunities
    • Vivutio vya utalii
    • Industry
  • Our Services
    • Water
    • Elimu
    • Watumishi
    • Kilimo
    • Health
    • Mifugo
  • Councillors
    • List of Councillors
    • Permanent Commitees
    • Scheduals of Legal sessions
  • Projects
    • Completed projects
    • Ongoing projects
    • New Project
  • Publications
    • Forms
    • Acts
    • Report
    • Taratibu
    • Taarifa za Fedha
      • Taarifa ya makisio ya Mapato
      • Taarifa ya Mapato Halisi
      • Taarifa ya Matumizi
      • MTEF
    • Guidelines
  • Media Centre
    • Videos
    • News
    • Press Releae
    • Photo Gallery
    • Speech

RC BABU AIPONGEZA ROMBO KWA KUPATA HATI SAFI KWA MARA YA TATU MFULULIZO

Posted on: July 4th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Nurdin babu amempongeza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Rombo Ndg Godwin Chacha na menejimenti ya Halmashauri kwa kuvuka lengo katika ukusanyaji wa mapato kwa asilimia 118 kwa mwaka wa fedha 2023/24



Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro ameipongeza Wilaya ya Rombo kwa kupata hati safi kwa miaka mitatu mfulululizo.

Akizungumza wakati wa mkutano maalum wa kujadili hoja za mdhibiti na mkaguzi mkuu wa Hesabu za serikali leo Julai 04, 2024 uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa halmashauri, Mhe Nurdin Babu amesema Wilaya ya Rombo inachangia kwa kiasi kikubwa Mkoa wa Kilimanjaro kuendelea kufanya vizuri kitaifa.

Mhe Nurdin Babu amewaelekeza Mwenyekiti wa Halmashauri, Mkurugenzi Mtendaji na Waheshimiwa madiwani kuendelea kusimamia na kuhakikisha hakuzalishwi hoja zaidi ya kumi wakati wa ukaguzi wa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali – CAG Mwaka 2024/2025.



“Nataka wakuu wa idara wote washiriki kikamilifu katika suala zima la kuzuia uwepo wa hoja na kuzijibu hoja za ukaguzi, nyinyi wakuu wa idara ndio tunawategemea, muwasaidie sana waheshimiwa madiwani kuchakata na kujibu hoja zote kwa ufanisi kama mlivyofanya sasa” amesema Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Nurdin Babu.



“Mkurugenzi endeleeni kumuwezesha Mkaguzi wa Ndani afanye kazi yake, kwa sababu yeye ndio anajua hili tusipolitekeleza itakuwa hoja na tukitekeleza haitakuwa hoja kwa hiyo msaidieni mkaguzi wa ndani” ameongeza Mhe Nurdin Babu.



Kikao hicho cha kujadili hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali – CAG kimefanyika ambapo Halmashauri ya Wilaya ya Rombo imewasilisha hoja tano za ukaguzi zilizojadiliwa na kutolewa maelekezo na waheshimiwa madiwani mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe Nurdin Babu.



Matangazo

  • MATOKEO YA USAHILI WA WALIOOMBA KAZI YA KUKUSANYA MAPATO NA KAZI YA USAFI August 27, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA VYA HALMASHAURI YA WILAYA YA ROMBO June 14, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA August 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA AJIRA YA MKATABA July 16, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI.

    May 29, 2025
  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • ZAID YA SHILINGI MILIONI MIA SITA AROBAINI NA MOJA YA KABIDHIWA KWA VIKUNDI 52

    April 17, 2025
  • View All

Videos

Maafisa Elimu Kata wakizifanyia Majaribio Pikipiki
More Videos

Kurasa za haraka

  • Muundo wa Halmashauri
  • Wasiliana Nasi Kwa
  • Miladi iliyokamilika

Kurasa za karibu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • MFUMO WA TAUSI
  • Ffars
  • Tamisemi
  • Idara ya Takwimu (NBS)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact us

    Rombo District Council,Mkuu Bomani Street

    Sanduku la Posta: P.o Box 52,Mkuu,Rombo

    simu: 027-2757101

    Mobile: 027-2757101

    staff mail: ded@rombodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Copyright@2019Rombodc.all rights reserved