• Contact us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Rombo District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • ujenzi
      • maji
      • Planning and Statitics
      • Livestock and Fishing
      • Community DEvelopment
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Ellimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Land and natural Resources
      • Human Resource and Administration
      • Health
    • Unit
      • ICT
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Law
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
    • Organisation Structure
  • Investiment Opportunities
    • Vivutio vya utalii
    • Industry
  • Our Services
    • Water
    • Elimu
    • Watumishi
    • Kilimo
    • Health
    • Mifugo
  • Councillors
    • List of Councillors
    • Permanent Commitees
    • Scheduals of Legal sessions
  • Projects
    • Completed projects
    • Ongoing projects
    • New Project
  • Publications
    • Forms
    • Acts
    • Report
    • Taratibu
    • Taarifa za Fedha
      • Taarifa ya makisio ya Mapato
      • Taarifa ya Mapato Halisi
      • Taarifa ya Matumizi
      • MTEF
    • Guidelines
  • Media Centre
    • Videos
    • News
    • Press Releae
    • Photo Gallery
    • Speech

Mkuu wa Wilaya ya Rombo Mhe. Raymond Steven Mwangwala tarehe April 22, 2024 amefanya mkutano wa hadhara wenye lengo la kusikiliza na kutatua kero za wananchi wa Tarafa ya Mengwe.

Posted on: April 22nd, 2024


Mkuu wa Wilaya ya Rombo Mhe. Raymond Steven  Mwangwala  tarehe   April 22, 2024 amefanya mkutano wa hadhara wenye lengo la kusikiliza na kutatua kero za wananchi wa Tarafa ya Mengwe.



Katika mkutano huo uliofanyika holili katika viwanja vya ofisi za mtendaji wa kata Mhe. Mwangwala aliambatana na kamati ya ulinzi na usalama, Wataalamu kutoka Halmashauri ya Wilaya  ya Rombo na wengine kutoka Taasisi zinazowahudumia wananchi kwa ukaribu ikiwemo Wakala wa Barabara za Vijijini na Mji (TARURA) , Wataalamu kutoka Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira (rombowasa) pamoja na wataalamu kutoka Shirika la Umeme Tanzania ( TANESCO). 


Katika kusikiliza kero za wananchi wa Tarafa Ya Mengwe kata ya holili ,  Mkuu wa wilaya alipokea changamoto mbalimbali zikiwemo zinazohusu  Elimu, Miundombinu ya barabara, Maji, Umeme, Afya, migogoro mbalimbali ya Ardhi na changamoto za Kisheria zinazowakabili wananchi hao.


 Mkuu wa Wilaya akishirikiana na wataalamu aliongozana nao walifanikiwa kutolea majibu kwa baadhi ya changamoto huku nyingine zikipaa utatuzi wa  papo kwa papo na nyingine zilipokelewa kwa maelekezo ya kupatiwa mwarobaini wake.


Hatahivyo, Dc Mwangwala amewataka viongozi wa TARURA  kurekebisha miundombinu ya barabara hasa maeneo yenye uhitaji zaidi kutokana na uharibifu ulosababishwa na mvua zilizonyesha.


Sambamba na hilo Dc Mwangwala  amesema suala la Usalama katika Wilaya sio jukumu la polisi peke yake bali ni jukumu  la kila mwananchi, hivyo amewataka wananchi kuwa mstari wa mbele katika kutoa ushirikiano endapo uhalifu utatokea ili kusaidia kutunza amani na usalama hasa maeneo hayo ambayo yapo mpakani na nchi jirani ya Kenya.


Naye Kaimu Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Rombo  amemuhakikishia Mkuu wa Wilaya kutatua kero  kwa wakati

 “Tutahakikisha kero hizi tunazitatua kwa wakati bila kuathiri maeneo mengine kwani Wataalamu wetu tumewaelekeza kufuatilia maeneo yote yenye kero na kushughulikia kwa wakati hususani eneo la elimu, Ustawi wa Jamii, Maendeleo ya Jamii pamoja na eneo la sheria hivyo nipende kutoa shukrani zangu kwa Mkuu wa Wilaya  kwa ziara hii ya kutatua kero na nikuhakikishie tumejipanga kuondoa kero za wananchi kwa ajili ya kukuza uchumi wao.”


Matangazo

  • MATOKEO YA USAHILI WA WALIOOMBA KAZI YA KUKUSANYA MAPATO NA KAZI YA USAFI August 27, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA VYA HALMASHAURI YA WILAYA YA ROMBO June 14, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA August 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA AJIRA YA MKATABA July 16, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI.

    May 29, 2025
  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • ZAID YA SHILINGI MILIONI MIA SITA AROBAINI NA MOJA YA KABIDHIWA KWA VIKUNDI 52

    April 17, 2025
  • View All

Videos

Maafisa Elimu Kata wakizifanyia Majaribio Pikipiki
More Videos

Kurasa za haraka

  • Muundo wa Halmashauri
  • Wasiliana Nasi Kwa
  • Miladi iliyokamilika

Kurasa za karibu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • MFUMO WA TAUSI
  • Ffars
  • Tamisemi
  • Idara ya Takwimu (NBS)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact us

    Rombo District Council,Mkuu Bomani Street

    Sanduku la Posta: P.o Box 52,Mkuu,Rombo

    simu: 027-2757101

    Mobile: 027-2757101

    staff mail: ded@rombodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Copyright@2019Rombodc.all rights reserved