• Contact us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Rombo District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • ujenzi
      • maji
      • Planning and Statitics
      • Livestock and Fishing
      • Community DEvelopment
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Ellimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Land and natural Resources
      • Human Resource and Administration
      • Health
    • Unit
      • ICT
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Law
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
    • Organisation Structure
  • Investiment Opportunities
    • Vivutio vya utalii
    • Industry
  • Our Services
    • Water
    • Elimu
    • Watumishi
    • Kilimo
    • Health
    • Mifugo
  • Councillors
    • List of Councillors
    • Permanent Commitees
    • Scheduals of Legal sessions
  • Projects
    • Completed projects
    • Ongoing projects
    • New Project
  • Publications
    • Forms
    • Acts
    • Report
    • Taratibu
    • Taarifa za Fedha
      • Taarifa ya makisio ya Mapato
      • Taarifa ya Mapato Halisi
      • Taarifa ya Matumizi
      • MTEF
    • Guidelines
  • Media Centre
    • Videos
    • News
    • Press Releae
    • Photo Gallery
    • Speech

Mama Samia asisitiza ushirikiano na uwajibikaji

Posted on: November 9th, 2018

Mhe. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muuungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan katika ziara yake wilayani Rombo leo tarehe 9.11.2018 ametoa rai kwa watumishi wa umma kuwa na ushirikiano ndani ya serikali, chama tawala na serikali pamoja na jamii kwa ujumla.

Ameongeza kuwa katika harakati za kuwaletea wananchi maendeleo ni budi watumishi wa umma kufanya kazi kwa ushirikiano, uadilifu, weledi na uaminifu mkubwa kwa kila mmoja kwenye nafasi yake kuhakikisha anawajibika ipasavyo.

"Nimetumwa na Mhe.Rais niwaambie mshirikiane, kama hamtaki kupendana msipendane,lakini katika kazi shirikianeni kwasababu wote tunajenga nyumba moja inayoitwa Tanzania kwa itikadi zozote tulizonazo bado tunatawaliwa na sheria moja, miongozo na kanuni za serikali".alisema Mama Samia

Aidha amesisitiza kuwepo kwa uhusiano mzuri kati ya watumishi wa umma na jamii pamoja na  kauli nzuri kwa wananchi pasipo kutumia mabavu.

Hata hivyo aliipongeza wilaya ya Rombo kwa maendeleo yaliyopatikana katika kipindi cha miaka mitatu ya uongozi wa awamu ya tano ya Mhe Rais John Pombe Magufuli  ikiwa ni pamoja na kudumisha amani na utulivu.

Matangazo

  • MATOKEO YA USAHILI WA WALIOOMBA KAZI YA KUKUSANYA MAPATO NA KAZI YA USAFI August 27, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA VYA HALMASHAURI YA WILAYA YA ROMBO June 14, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA August 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA AJIRA YA MKATABA July 16, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI.

    May 29, 2025
  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • ZAID YA SHILINGI MILIONI MIA SITA AROBAINI NA MOJA YA KABIDHIWA KWA VIKUNDI 52

    April 17, 2025
  • View All

Videos

Maafisa Elimu Kata wakizifanyia Majaribio Pikipiki
More Videos

Kurasa za haraka

  • Muundo wa Halmashauri
  • Wasiliana Nasi Kwa
  • Miladi iliyokamilika

Kurasa za karibu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • MFUMO WA TAUSI
  • Ffars
  • Tamisemi
  • Idara ya Takwimu (NBS)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact us

    Rombo District Council,Mkuu Bomani Street

    Sanduku la Posta: P.o Box 52,Mkuu,Rombo

    simu: 027-2757101

    Mobile: 027-2757101

    staff mail: ded@rombodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Copyright@2019Rombodc.all rights reserved