• Contact us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Rombo District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • ujenzi
      • maji
      • Planning and Statitics
      • Livestock and Fishing
      • Community DEvelopment
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Ellimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Land and natural Resources
      • Human Resource and Administration
      • Health
    • Unit
      • ICT
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Law
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
    • Organisation Structure
  • Investiment Opportunities
    • Vivutio vya utalii
    • Industry
  • Our Services
    • Water
    • Elimu
    • Watumishi
    • Kilimo
    • Health
    • Mifugo
  • Councillors
    • List of Councillors
    • Permanent Commitees
    • Scheduals of Legal sessions
  • Projects
    • Completed projects
    • Ongoing projects
    • New Project
  • Publications
    • Forms
    • Acts
    • Report
    • Taratibu
    • Taarifa za Fedha
      • Taarifa ya makisio ya Mapato
      • Taarifa ya Mapato Halisi
      • Taarifa ya Matumizi
      • MTEF
    • Guidelines
  • Media Centre
    • Videos
    • News
    • Press Releae
    • Photo Gallery
    • Speech

Lets Guard the Girl Child DED- Rombo

Posted on: February 13th, 2018


Mkurugenzi  Mtendaji  wilaya ya Rombo  Bi Magreth John ameiomba jamii nzima ya Rombo kumlinda mtoto wa kike dhidi ya mimba za utotoni  ili aweze kutimiza ndoto zake, hayo aliyazungumza katika mkutano wa kuhamasisha shughuli za maendeleo katika  kata ya Motamburu Kitendeni.

Bi Magreth alisisitiza elimu juu ya mimba kwa wanafunzi wa kike ni muhimu kutolewa kuanzia ngazi ya familia ,ni wajibu wa wazazi wote wawili kuhakikisha wanakaa na binti zao kuwaambia ukweli bila kificho kuhusu mabadiliko ya ukuaji na madhara ya mahusiano na jinsia tofauti  kabla ya wakati, kwasababu mtoto anapopata mimba shuleni anakwamisha ndoto zake na ndoto za wazazi walizokuwa nazo kwa binti yao.

Aliongeza kuwa watoto wa kike wanakutana na vishawishi vingi ambavyo baadae vinawaingiza katika matatizo ya kupata ujauzito wakiwa shuleni kitu kinachosababisha  kukatisha masomo yao na kuwaharibia muelekeo wa maisha, lakini wahusika wanaowafanyia unyama huu ni vijana na watu wazima katika maeneo yetu.

“Vijana tuwajali watoto wa kike kama dada zetu/wadogo zetu  tuwalinde, na hili sio kwa vijana hata wazee mnawaharibu mabinti wanaosoma” Alisema Bi Magreth.

Wilaya ya Rombo ni miongoni za Wilaya zenye kiwango kikubwa cha wanafunzi wa kike kupata mimba mashuleni , kitu ambacho kinasababisha kukatisha masomo yao na kuingia katika umama katika umri mdogo , hivyo elimu ya ukuaji na mimba ni muhimu kutolewa kuanzia ngazi ya familia na jamii nzima iwe mlinzi wa mtoto wa kike , kila mtu amuangalie mtoto wa kike kama mwanaye, dada, mjukuu na mtu anaehitaji ulinzi wa jamii nzima.


Matangazo

  • MATOKEO YA USAHILI WA WALIOOMBA KAZI YA KUKUSANYA MAPATO NA KAZI YA USAFI August 27, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA VYA HALMASHAURI YA WILAYA YA ROMBO June 14, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA August 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA AJIRA YA MKATABA July 16, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI.

    May 29, 2025
  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • ZAID YA SHILINGI MILIONI MIA SITA AROBAINI NA MOJA YA KABIDHIWA KWA VIKUNDI 52

    April 17, 2025
  • View All

Videos

Maafisa Elimu Kata wakizifanyia Majaribio Pikipiki
More Videos

Kurasa za haraka

  • Muundo wa Halmashauri
  • Wasiliana Nasi Kwa
  • Miladi iliyokamilika

Kurasa za karibu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • MFUMO WA TAUSI
  • Ffars
  • Tamisemi
  • Idara ya Takwimu (NBS)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact us

    Rombo District Council,Mkuu Bomani Street

    Sanduku la Posta: P.o Box 52,Mkuu,Rombo

    simu: 027-2757101

    Mobile: 027-2757101

    staff mail: ded@rombodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Copyright@2019Rombodc.all rights reserved