• Contact us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Rombo District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • ujenzi
      • maji
      • Planning and Statitics
      • Livestock and Fishing
      • Community DEvelopment
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Ellimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Land and natural Resources
      • Human Resource and Administration
      • Health
    • Unit
      • ICT
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Law
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
    • Organisation Structure
  • Investiment Opportunities
    • Vivutio vya utalii
    • Industry
  • Our Services
    • Water
    • Elimu
    • Watumishi
    • Kilimo
    • Health
    • Mifugo
  • Councillors
    • List of Councillors
    • Permanent Commitees
    • Scheduals of Legal sessions
  • Projects
    • Completed projects
    • Ongoing projects
    • New Project
  • Publications
    • Forms
    • Acts
    • Report
    • Taratibu
    • Taarifa za Fedha
      • Taarifa ya makisio ya Mapato
      • Taarifa ya Mapato Halisi
      • Taarifa ya Matumizi
      • MTEF
    • Guidelines
  • Media Centre
    • Videos
    • News
    • Press Releae
    • Photo Gallery
    • Speech

KUANZISHWA KWA MAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA WILAYA YA ROMBO ILI KUBORESHA HUDUMA YA MAJI

Posted on: September 23rd, 2017

Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhe.Mhandisi Gerson Lwenge amesema mchakato wa kuanzishwa kwa Mamlaka ya maji Rombo bado unaendelea na watu wa Idara ya Sheria wanalifanyia kazi,japokuwa  kwa kawaida mchakato huwa unachukua muda mrefu lakini wadau wote walishirikishwa kuanzia ngazi ya Halmashauri na kuunga mkono kuanzishwa kwa Mamlaka ya Maji ya serikali

Aliongeza kuwa, mbali na Kampuni ya Kiliwater ambayo inaendesha na kusimamia miradi ya maji Rombo kulalamikiwa na wananchi,suala la uanzishwaji wa Mamlaka ya maji ni muhimu na hakuna anayeweza kuzuia kwasababu serikali inapotoa fedha kwa ajili ya miradi  ya maji ni lazima fedha hizo zisimamiwe na Mamlaka ya serikali na sio Kampuni binafsi.

Mhe.Mhandisi Lwenge amefanya ziara Wilayani Rombo na kukagua vyanzo vya maji na miradi ya maji inayoendelea na kutolea msisitizo katika suala zima la utunzaji wa mazingira na vyanzo vya maji,ikiwa ni pamoja na kutoa elimu kuhusu uvunaji wa maji ya mvua, hii ni kutokana na vyanzo vilivyopo kuonekana kutokidhi mahitaji hasa katika maeneo ya ukanda wa chini na kuahidi katika miradi itakayobuniwa baadae upo uwezekano wa maji kutoka ziwa Chala kutumika kwa wananchi wa ukanda huo

Malengo ya serikali ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania ni wananchi kupata huduma ya maji kwa asilimia 85 katika umbali wa mita 400 ifikapo 2020, ambapo Wilaya ya Rombo mpaka sasa ni asilimia 57 ya wananchi wanaopata huduma hiyo,ikiwa ni wastani mzuri ukilinganisha na baadhi ya wilaya.

Katika mwaka wa fedha 2017/18 serikali imetenga kiasi cha shilingi bilioni mbili na milioni mia tisa (2,900,000,000) ili kukamilisha  miradi inayoendelea katika Wilaya ya Rombo

Matangazo

  • MATOKEO YA USAHILI WA WALIOOMBA KAZI YA KUKUSANYA MAPATO NA KAZI YA USAFI August 27, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA VYA HALMASHAURI YA WILAYA YA ROMBO June 14, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA August 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA AJIRA YA MKATABA July 16, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI.

    May 29, 2025
  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • ZAID YA SHILINGI MILIONI MIA SITA AROBAINI NA MOJA YA KABIDHIWA KWA VIKUNDI 52

    April 17, 2025
  • View All

Videos

Maafisa Elimu Kata wakizifanyia Majaribio Pikipiki
More Videos

Kurasa za haraka

  • Muundo wa Halmashauri
  • Wasiliana Nasi Kwa
  • Miladi iliyokamilika

Kurasa za karibu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • MFUMO WA TAUSI
  • Ffars
  • Tamisemi
  • Idara ya Takwimu (NBS)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact us

    Rombo District Council,Mkuu Bomani Street

    Sanduku la Posta: P.o Box 52,Mkuu,Rombo

    simu: 027-2757101

    Mobile: 027-2757101

    staff mail: ded@rombodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Copyright@2019Rombodc.all rights reserved