• Contact us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Rombo District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • ujenzi
      • maji
      • Planning and Statitics
      • Livestock and Fishing
      • Community DEvelopment
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Ellimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Land and natural Resources
      • Human Resource and Administration
      • Health
    • Unit
      • ICT
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Law
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
    • Organisation Structure
  • Investiment Opportunities
    • Vivutio vya utalii
    • Industry
  • Our Services
    • Water
    • Elimu
    • Watumishi
    • Kilimo
    • Health
    • Mifugo
  • Councillors
    • List of Councillors
    • Permanent Commitees
    • Scheduals of Legal sessions
  • Projects
    • Completed projects
    • Ongoing projects
    • New Project
  • Publications
    • Forms
    • Acts
    • Report
    • Taratibu
    • Taarifa za Fedha
      • Taarifa ya makisio ya Mapato
      • Taarifa ya Mapato Halisi
      • Taarifa ya Matumizi
      • MTEF
    • Guidelines
  • Media Centre
    • Videos
    • News
    • Press Releae
    • Photo Gallery
    • Speech

KIKAO CHA HALMASHAURI KUU YA CCM WILAYA YA ROMBO

Posted on: December 18th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Rombo Mheshimiwa Raymond Stephen Mwangwala leo tarehe 18/12/2023  amewasilisha taarifa ya utekelezaji wa vipengele vya Ilani ya Chama cha Mapinduzi(CCM) kwa kipindi cha Julai 2022 hadi Juni 2023 katika ukumbi wa Halmashauri ya wilaya ya Rombo.

Kikao hicho kimehudhuriwa na Mkuu wa Wilaya ya Rombo, Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Rombo, Katibu tawala Wilaya ya Rombo, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Rombo, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Rombo, Katibu wa CCM (w) Rombo, Katibu Mwenezi wa CCM (w) Rombo,Wakuu wa Idara Mbalimbali pamoja na Wajumbe wa Kamati ya Halmashauri Kuu Wilaya ya Rombo katika uwasilishaji wa taarifa hiyo.

Mkuu wa wilaya amepitia vipengele hivyo ambavyo ni Hali ya kiuchumi katika wilaya, Kupambana na umaskini na uwezeshaji wa wananchi kiuchumi, Mfuko wa Maendeleo ya jamii TASAF, Uchumi wa rasilimali maji, Vyama vya ushirika na changamoto zake, Kilimo, Ufugaji, Uvuvi , Viwanda, Biashara, Mawasiliano, Madini, Utalii, Maliasili, Ardhi, Ukimwi, Ulinzi na Usalama, Mapambano dhidi ya Rushwa, Utamaduni Sanaa na michezo pamoja na Usafirishaji na Usafiri.

Pia Mkuu wa Wilaya amewasilisha taarifa za Utekelezaji wa Miradi katika sekta mbalimbali kama  vile ROMBOWSSA ,TARURA,TANESCO,Elimu Msingi na Sekondari,Afya na Utawala ambapo miradi mingi ya kimaendeleo katika wilaya ya Rombo Imekamilika na mingine michache ikiwa katika hatua za Mwisho za Utekelezaji.

Aidha kwa Changamoto mbalimbali ambazo zimeibuliwa na Wajumbe katika kikao hicho hasa katika miundombinu ya barabara na Umeme, Vyama vya Ushirika na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF kwa pamoja zimeahidiwa kufanyiwa kazi kwa wakati.


Pamoja na hayo,Mkuu wa Wilaya amepongeza kazi kubwa iliyofanywa katika utekelezaji wa miradi mbalimbali huku akimpongeza Mkuu wa wilaya aliyepita kwa kazi kubwa aliyoifanya kwenye utekelezaji huo wa miradi ya Kimaendeleo ya katika wilaya yetu.

Pia, Mkuu wa wilaya  ameomba Ushirikiano,kushauriana  na kusaidiana ili kufikia katika malengo tuliyojiwekea katika wilaya yetu ya Rombo.

Matangazo

  • MATOKEO YA USAHILI WA WALIOOMBA KAZI YA KUKUSANYA MAPATO NA KAZI YA USAFI August 27, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA VYA HALMASHAURI YA WILAYA YA ROMBO June 14, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA August 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA AJIRA YA MKATABA July 16, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI.

    May 29, 2025
  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • ZAID YA SHILINGI MILIONI MIA SITA AROBAINI NA MOJA YA KABIDHIWA KWA VIKUNDI 52

    April 17, 2025
  • View All

Videos

Maafisa Elimu Kata wakizifanyia Majaribio Pikipiki
More Videos

Kurasa za haraka

  • Muundo wa Halmashauri
  • Wasiliana Nasi Kwa
  • Miladi iliyokamilika

Kurasa za karibu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • MFUMO WA TAUSI
  • Ffars
  • Tamisemi
  • Idara ya Takwimu (NBS)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact us

    Rombo District Council,Mkuu Bomani Street

    Sanduku la Posta: P.o Box 52,Mkuu,Rombo

    simu: 027-2757101

    Mobile: 027-2757101

    staff mail: ded@rombodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Copyright@2019Rombodc.all rights reserved