• Contact us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Rombo District Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • ujenzi
      • maji
      • Planning and Statitics
      • Livestock and Fishing
      • Community DEvelopment
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Ellimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Land and natural Resources
      • Human Resource and Administration
      • Health
    • Unit
      • ICT
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Law
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
    • Organisation Structure
  • Investiment Opportunities
    • Vivutio vya utalii
    • Industry
  • Our Services
    • Water
    • Elimu
    • Watumishi
    • Kilimo
    • Health
    • Mifugo
  • Councillors
    • List of Councillors
    • Permanent Commitees
    • Scheduals of Legal sessions
  • Projects
    • Completed projects
    • Ongoing projects
    • New Project
  • Publications
    • Forms
    • Acts
    • Report
    • Taratibu
    • Taarifa za Fedha
      • Taarifa ya makisio ya Mapato
      • Taarifa ya Mapato Halisi
      • Taarifa ya Matumizi
      • MTEF
    • Guidelines
  • Media Centre
    • Videos
    • News
    • Press Releae
    • Photo Gallery
    • Speech

Kamati ya lishe ya Halmshauri ya Wilaya ya Rombo yafanya kikao cha cha utekelezaji wa mkataba wa lishe

Posted on: May 25th, 2023

Divisheni ya Afya, Usatawi wa Jamii na Lishe imekaa kakao cha robo mwaka ya tatu (jan -mach 2023) na kamati ya Lishe ya Halamashauri ya Wilaya ya Rombo  leo tarehe 25 Mei2023 katika ukumbi wa vikao Huruma Hospitali. 

Mwl. Charles Mganga aliyekuwa mwenyekiti wa kikao hicho akimwakilisha Mkurugenzi, aliwaongoza wajumbe kutoka divisheni mbalimbali waliohudhuria kikao hicho kilichokuwa na malengo ya kupokea taarifa ya robo mwaka  kutoka seksheni zifuatazo;- 

Seksheni ya Lishe, 

Sekheni ya Kilimo,

Sekesheni ya Mifugo na Uvuvi,

Divisheni ya Elimu ya Awali Msingi na Sekondari 

Divisheni ya Maendeleo ya Jamii.


Afisa lishe wa Halmashauri ya Rombo aliwasilisha taarifa ya utekelezaji wa viashiria vya mkatatba wa lishe katika kipindi cha mwezi Januari hadi Machi ambapo katika taarifa hiyo yafuatayo yalikuwa ni baadhi ya mafanikio;-

Ukaguzi wa maeneo mbalimbali yanayoshughulika na utengenezaji, uandaaji uhifadhi, na usambazaji kama vile mabucha, vichinjio, maduka ya vyakula. Lakin pia shughuli hii ilifanikiwa kufanyika kwa kushirikiana na maafisa wa afya mifugo na kilimo. 

Utoaji wa matibabu kwa watoto wenye umri chini ya miaka motano (5), elimu ya ulishaji wa watoto wachanga na wadogo kwa kina mama na nwalezi  katika vituo vya huduma za afya huku vituo takribani 38 vya kutolea huduma vikifikiwa katika utoaji huo wa elimu.

Ukutoa vidonge vya madini chuma na Asidi ya Filiki kwa kina mama wajawazito , utoaji wa chakula kwa wanafinzi shule za msing na sekondari zaidi sana upimaji wa uwepo wa madini joto katika chumvi.

Pamoja na mafanikio hayo bado kulikuwepo changamoto zilizoikumba seksheni ya lishe katika utekelezaji kama ifuatavyo;-

Hamasa ndogo ya wadau wanaojishughulisha na huduma za lishe katika Halmashauri

Upungufu wa vifaa vya upimaji madini joto .

Hata hivyo divisheni ya elimu nayo iliwasilisha taarifa ya utekelezaji ikiwa ni moja kati ya divisheni mtambuka katika utekelezaji wa mkataba wa lishe katika Halmashari.

Katika taarifa yao iliyowasilishwa katika kamati walionyesha mafanikio na changamoto zao kama ifuatavyo


Wametembelea shule 7 zinazofuga ngombe na kuzidi kuhamasisha ulimaji wa mboga mboga kwajili ya kuboresha lishe shuleni.

Upandaji wa miti ya matunda mbalimbali na kila shule awepo walau mwalimu mmoja wa afya na viranja wa afya katika shule ili kuzidi kutilia mkazo katika swala zima la lishe shuleni.

Kwa wanafunzi wenye mahitaji maalumu kutengewa bajeti yao yenye kiapaumbele cha kuhakikisha wanapata lishe Bora 

Pamoja na mafanikio waliyyapata katika utekelezaji wa mkataba wa lishe Divisheni ya Elimu, pia ilikumbana na changamoto kama ifuatavyo;-

Uhaba wa maji hasa kipindi cha kiangazi ambacho husababisha ukame ambao hurudisha nyuma jitihada.

Uhaba wa maeneo katika baadhi ya shule kupelekea hata shule  hukosa ata eneo la kupanda mboga mboga na ukosefu wa majani ya kulisha mifugo kama ngombe.

Baadhi ya wazazi kutokuwa tayari kutoa michango ya upatikanaji wa lishe  kwa watoto wao shuleni.


Aidha katika kikao hicho wajumbe walikubaliana katika kuongeza jitihada zaidi katika kiboresha utekelezaji ili jamii nzima iweze kupata elimu ya kutosha kuhusu umuhimu wa lishe katika kulinda afya bora

Matangazo

  • MATOKEO YA USAHILI WA WALIOOMBA KAZI YA KUKUSANYA MAPATO NA KAZI YA USAFI August 27, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA VYA HALMASHAURI YA WILAYA YA ROMBO June 14, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA August 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA AJIRA YA MKATABA July 16, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI.

    May 29, 2025
  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • ZAID YA SHILINGI MILIONI MIA SITA AROBAINI NA MOJA YA KABIDHIWA KWA VIKUNDI 52

    April 17, 2025
  • View All

Videos

Maafisa Elimu Kata wakizifanyia Majaribio Pikipiki
More Videos

Kurasa za haraka

  • Muundo wa Halmashauri
  • Wasiliana Nasi Kwa
  • Miladi iliyokamilika

Kurasa za karibu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • MFUMO WA TAUSI
  • Ffars
  • Tamisemi
  • Idara ya Takwimu (NBS)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact us

    Rombo District Council,Mkuu Bomani Street

    Sanduku la Posta: P.o Box 52,Mkuu,Rombo

    simu: 027-2757101

    Mobile: 027-2757101

    staff mail: ded@rombodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Copyright@2019Rombodc.all rights reserved