• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rombo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mipango na Takwimu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Utumishi na Utawala
      • Afya
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Uchaguzi
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • maji
    • Elimu
    • Watumishi
    • Kilimo
    • Afya
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Mipya
  • Machapisho
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti
    • Taratibu
    • Taarifa za Fedha
      • Taarifa ya makisio ya Mapato
      • Taarifa ya Mapato Halisi
      • Taarifa ya Matumizi
      • MTEF
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba

ZIARA YA NAIBU WAZIRI MHE. UMMY ROMBO

Posted on: July 19th, 2023

Naibu Waziri wa nchi ofisi ya Waziri mkuu sera bunge na uratibu Mhe. Ummy Nderiananga amefanya ziara wilayani Rombo leo tarehe 19 julai na kupokelewa na Mkuu wa wilaya Mhe. Kanal Hamis Maiga Pamoja na viongozi na watumishi mbalimbali kutoka halmashauri.

Naibu Waziri Ummy katika ziara hiyo aliongozana na katibu wa (UWT) Mkoa wa Kilimanjaro na kufanikiwa kutana na wanachama wa (UWT) wa wilaya ya Rombo. Mhe. Ummy alisomewa taarifa ya mwenendo wa chama cha UWT wilaya ya Rombo ikiwemo malengo, mafanikiao  pamoja na changamoto zinazowakunba  wanachama hao.

Baada ya kusikiliza na kupokea taarifa hiyo Mhe.Ummy aliweza kutoa hamasa kwa wanchama hao kwa kuwachangia nondo pamoja na mifuko saruji kwaajili ya ujenzi wa nyumba za makatibu wa (UWT) wilaya Rombo. Pia mhe.Ummy aliweza kutoa majiko ya gesi 75 kwa wanachama hao ikiwa ni juhudi za kuwatuwa wakina mama kuni kichwani.

Vilevile  viongozi wa UWT wakishirikiania na mhe. Ummy walimkabidhi mkuu wa wilaya ya Rombo Mhe. Maiga cheti cha heshima kwa kazi kubwa na  mchango wake katika kuhakikisha wanachama hao wanapata ushirikiano wakutosha katika kutimiza malengo yao.

Mheshimiwa Naibu Waziri pia alifanikiwa kutembelea shule ya msingi Mreai  iliyopo katika kata Ubetu kahe yenye kufundisha Watoto wenye uhitaji maalumu. Mkuu wa shule alisoma taaarifa fupi kushusu Shule, mafanikio changamoto Pamoja na malengo.

Katika taarifa hiyo, kulionekana kuwepo kwa changamoto ya vifaa vya kufundishia, uhaba wa waalimu pamoja na Watoto hao kukosa mwendelezo baada ya kuhitimu darasa la saba. Hivyo wakaomba serikali iweze kuwatatulia changamoto hizo ili kuboresha utoaji huduma shulen hapo.

Mhe. Ummy  alipokea taarifa hoyo na kusema atafikisha sehemu husika ili kuweza kuchukuliwa hatua zaidi hivyo akawasihi waalimu wa shule hiyo kuwa na Subira huku serikali ikayatafutia mwarobaini changamoto zao. Mhe ummy pia alitoa agizo kwa  kutoa  kwa wananchi wenye Watoto wenye ulemavu kuwapeleka Watoto shule kikatiba ni haki ya kila mtu kupata elimu. Katika kusisitiza hilo Mhe. Ummy aliweza kujitolea mfano kuwa endepo wazazi wake wasingempeleka shule kisa ulemavu wake basi leo hii asingeweza kuwa naibu Waziri.

 Mwisho kabisa Naibu waziri aliweza kukabidhi baskeli mbili maalum kwa watu wenye walemavu katika kituo cha watu wenye mashima iliyopo kata ya ubetu kahe baada ya kutembelea kituo hicho kilichopo katika kata hiyo ya Ubetu Kahe.

Matangazo

  • MATOKEO YA USAHILI WA WALIOOMBA KAZI YA KUKUSANYA MAPATO NA KAZI YA USAFI August 27, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA VYA HALMASHAURI YA WILAYA YA ROMBO June 14, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA August 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA AJIRA YA MKATABA July 16, 2024
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • ZAID YA SHILINGI MILIONI MIA SITA AROBAINI NA MOJA YA KABIDHIWA KWA VIKUNDI 52

    April 17, 2025
  • ZAID YA SHILINGI MILIONI MIA SITA AROBAINI NA MOJA YA KABIDHIWA KWA VIKUNDI 52

    April 17, 2025
  • Ona Zote

Video

Maafisa Elimu Kata wakizifanyia Majaribio Pikipiki
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Muundo wa Halmashauri
  • Wasiliana Nasi Kwa
  • Miladi iliyokamilika

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • MFUMO WA TAUSI
  • Ffars
  • Tamisemi
  • Idara ya Takwimu (NBS)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Rombo District Council,Mkuu Bomani Street

    Sanduku la Posta: P.o Box 52,Mkuu,Rombo

    Simu: 027-2757101

    Simu ya Mkononi: 027-2757101

    Barua Pepe: ded@rombodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright@2019Rombodc.all rights reserved