• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rombo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mipango na Takwimu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Utumishi na Utawala
      • Afya
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Uchaguzi
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • maji
    • Elimu
    • Watumishi
    • Kilimo
    • Afya
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Mipya
  • Machapisho
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti
    • Taratibu
    • Taarifa za Fedha
      • Taarifa ya makisio ya Mapato
      • Taarifa ya Mapato Halisi
      • Taarifa ya Matumizi
      • MTEF
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba

Ujenzi wa daharia kutatua tatizo la wanafunzi kutembea umbali mrefu

Posted on: July 11th, 2019

Ujenzi unaoendelea wa daharia katika shule ya sekondari Motamburu utawarahisishia  wanafunzi waliokuwa wanatembea umbali wa kilometa 12 hadi 27 kufika shuleni hivyo kupunguza mazingira hatarishi kwa wanafunzi  ambayo yanasababisha mimba za utotoni, ajali kutokana na matumizi ya usafiri usio rasmi na utoro.

Mradi huo ambao ulikuwa umepangwa kutekelezeka kupitia ufadhili na michango ya wananchi ulikadiriwa kugharimu kiasi cha shilingi milioni 194,775,684, mpaka sasa upo katika hatua nzuri baada ya Serikali kupitia Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania( TFS) kufadhili mradi huo kwa kuchangia kiasi cha  kiasi cha shilingi 150,000,000.

 Kwa upande wa ushiriki wa wananchi katika mradi huo  ni upatikanaji wa eneo ambalo lina gharama ya shilingi 10,000,000 ambapo kujengwa kwa daharia hiyo kutawanufaisha wanafunzi  wanaosoma katika shule hiyo kutoka katika maeneo ya Nalemuru,Endonet na Kamwanga.

Mpaka sasa kazi zilizobakia katika ujenzi huo ni kuweka dari, vioo  na kupaka rangi.  Daharia hiyo ina  vyumba  20 vya kulala wanafunzi  ambapo kila chumba kinachukua wanafunzi  wanne, hivyo ina uwezo wa kuchukua wanafunzi 80 wa bweni.

Ujenzi huo pia  umezingatia uwepo wa nyumba ya matroni na miundombinu muhimu na rafiki kwa wanafunzi wenye mahitaji maalumu  vitu vitakavyosaidia kuwalinda watoto wa  kike na kuinua maendeleo ya kitaaluma katika shule hiyo ambayo mpaka sasa ni ya wastani kutokana na wanafunzi kutohudhuria masomo ipasavyo.

Matangazo

  • MATOKEO YA USAHILI WA WALIOOMBA KAZI YA KUKUSANYA MAPATO NA KAZI YA USAFI August 27, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA VYA HALMASHAURI YA WILAYA YA ROMBO June 14, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA August 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA AJIRA YA MKATABA July 16, 2024
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • ZAID YA SHILINGI MILIONI MIA SITA AROBAINI NA MOJA YA KABIDHIWA KWA VIKUNDI 52

    April 17, 2025
  • ZAID YA SHILINGI MILIONI MIA SITA AROBAINI NA MOJA YA KABIDHIWA KWA VIKUNDI 52

    April 17, 2025
  • Ona Zote

Video

Maafisa Elimu Kata wakizifanyia Majaribio Pikipiki
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Muundo wa Halmashauri
  • Wasiliana Nasi Kwa
  • Miladi iliyokamilika

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • MFUMO WA TAUSI
  • Ffars
  • Tamisemi
  • Idara ya Takwimu (NBS)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Rombo District Council,Mkuu Bomani Street

    Sanduku la Posta: P.o Box 52,Mkuu,Rombo

    Simu: 027-2757101

    Simu ya Mkononi: 027-2757101

    Barua Pepe: ded@rombodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright@2019Rombodc.all rights reserved