• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rombo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mipango na Takwimu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Utumishi na Utawala
      • Afya
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Uchaguzi
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • maji
    • Elimu
    • Watumishi
    • Kilimo
    • Afya
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Mipya
  • Machapisho
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti
    • Taratibu
    • Taarifa za Fedha
      • Taarifa ya makisio ya Mapato
      • Taarifa ya Mapato Halisi
      • Taarifa ya Matumizi
      • MTEF
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba

Tutambuane,rangi ya ngozi si Utanzania-DC Rombo

Posted on: July 6th, 2018

Wananchi wilayani Rombo wameshauriwa kutambuana na kutoa taarifa za wageni waliopo majumbani mwao pamoja na majirani zao kwa wenyeviti wa vitongoji na mabalozi, kwa ajili ya usalama wao na mali zao.

Hayo aliyasema Mkuu wa Wilaya ya Rombo Bi Agness Hokororo alipokuwa anazindua zoezi la kugawa vitambulisho vya taifa kwa wananchi katika Tarafa ya Usseri, Kata ya Kirongo Samanga .

“Hakikisha una taarifa za kutosha za jirani yako, rangi ya ngozi tu si kigezo cha utanzania,matishio ya uvunjifu wa amani yamekuwa mengi”,alisema Hokororo

Aliongeza kuwa wanaopaswa kupewa vitambulisho vya taifa ni watanzania wa kuzaliwa,kurithi na kuandikishwa na ikibainika kuna mtu asiye na sifa amepewa kitambulisho basi uongozi wote wa eneo husika utachukuliwa hatua za kisheria, kwa sababu picha zilibandikwa katika maeneo yao kwa ajili ya uhakiki na kutoa pingamizi kwa wasio na sifa.

Tunaelekea kwenye mfumo ambao ili kupata huduma za msingi lazima tutatakiwa kutambuliwa,hasa kwa tunaoishi eneo la karibu na mpaka kuna uwezekano mkubwa wa huduma nyingi za msingi kuwanufaisha watu wa nchi jirani kuliko sisi wenyewe, hivyo kila mtu aone thamani ya kitambulisho cha Taifa kilichotengenezwa kwa fedha za mlipa kodi, alimalizia Hokororo.

Naye afisa Usajili wa Vitambulisho vya Taifa (W) Bi Janeth Shayo alisema mpaka sasa asilimia 81.3 ya wananchi wa Rombo wameshasajiliwa toka zoezi lianze tarehe 10/11/2017 kwa matarajio ya kusajili wananchi wapatao 103,586 lakini  ni wananchi 84,181 tu ndio wamesajiliwa.



Matangazo

  • MATOKEO YA USAHILI WA WALIOOMBA KAZI YA KUKUSANYA MAPATO NA KAZI YA USAFI August 27, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA VYA HALMASHAURI YA WILAYA YA ROMBO June 14, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA August 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA AJIRA YA MKATABA July 16, 2024
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • ZAID YA SHILINGI MILIONI MIA SITA AROBAINI NA MOJA YA KABIDHIWA KWA VIKUNDI 52

    April 17, 2025
  • ZAID YA SHILINGI MILIONI MIA SITA AROBAINI NA MOJA YA KABIDHIWA KWA VIKUNDI 52

    April 17, 2025
  • Ona Zote

Video

Maafisa Elimu Kata wakizifanyia Majaribio Pikipiki
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Muundo wa Halmashauri
  • Wasiliana Nasi Kwa
  • Miladi iliyokamilika

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • MFUMO WA TAUSI
  • Ffars
  • Tamisemi
  • Idara ya Takwimu (NBS)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Rombo District Council,Mkuu Bomani Street

    Sanduku la Posta: P.o Box 52,Mkuu,Rombo

    Simu: 027-2757101

    Simu ya Mkononi: 027-2757101

    Barua Pepe: ded@rombodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright@2019Rombodc.all rights reserved