• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rombo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mipango na Takwimu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Utumishi na Utawala
      • Afya
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Uchaguzi
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • maji
    • Elimu
    • Watumishi
    • Kilimo
    • Afya
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Mipya
  • Machapisho
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti
    • Taratibu
    • Taarifa za Fedha
      • Taarifa ya makisio ya Mapato
      • Taarifa ya Mapato Halisi
      • Taarifa ya Matumizi
      • MTEF
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba

Serikali Yawakumbuka Maafisa Elimu Kata

Posted on: October 15th, 2018

Baadhi ya Maafisa Elimu kata wakizifanyia Majaribio pikipiki walizogaiwa kwa dhumuni la kuwarahisishia kuzunguka katika kata zao ili kutimiza majukumu yao kwa urahisi

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Rombo Bi. Magreth John leo tarehe 13.10.2018 Amewakabidhi Maafisa Elimu kata pikipiki ishirini na saba (27) zilizotolewa na serikali kwa kushirikiana na wadau wa Elimu kupitia Mpango wa kukuza stadi za KKK yaani kusoma,kuandika na kuhesabu ili kuinua kiwango cha Elimu nchini.

Aidha  amewaagiza maafisa Elimu kata kuhakikisha wanatimiza majukumu yao ipasavyo kwasababu changamoto ya usafiri imeshatatuliwa na serikali, ikiwa ni pamoja na kuelimisha wananchi kuwaandikisha watoto wao shule pamoja na kuondoa au kupunguza utoro mashuleni.

Aliongeza kuwa ni muhimu wahakikishe wanasimamia vyema rasilimali za shule bila kusahau kuwasimamia wakuu wa shule kuhakikisha wanafanya matumizi sahihi ya Fedha za serikali kwa kufuata miongozo.

Naye Kaimu Afisa  Elimu Sekondari(W) Ndg Vianne Mgoma ametoa rai kwa Maafisa Elimu Kata kuwasimamia walimu vizuri hasa wale ambao wamekuwa hawafiki kazini au wanafika lakini hawafundishi ipasavyo hii inatokana na urahisi watakaokuwa nao sasa wa kufika katika maeneo wanayoyasimamia kwa wakati.

Naye Katibu wa TSC(W) Emmanuel Mwaimu amewatahadharisha Maafisa Elimu Kata akitumia kanuni na. 8 ya 2003 na kanuni na 42 ya utumishi wa umma kuwa moja ya makosa ya kinidhamu ni kutumia mali ya umma kwa matumizi binafsi,  na uzembe unaosababisha hasara kwa muajiri adhabu zake ni fidia au kulipa gharama lakini pia unaweza kushtakiwa au kufukuzwa . Hivyo ni vema wakizijua kanuni hizo ili wajue mali za umma zinavyotakiwa kutumika.

Mwakilishi wa Maafisa Elimu kata(jina lake limehifadhiwa) alishukuru kwa niaba ya wenzake na kumuahidi Mkurugenzi Mtendaji kuwa watatizimiza maelekezo yote waliyopewa ikiwa ni pamoja na kufuata sheria za usalama barabarani.

Pia alichukua fursa hiyo kumshukuru kwa kuwapatia mafunzo ya udereva wa pikipiki kabla ya kuwagawia pikipiki hizo kwani ameonesha anawajali wao na usalama wao.



Matangazo

  • MATOKEO YA USAHILI WA WALIOOMBA KAZI YA KUKUSANYA MAPATO NA KAZI YA USAFI August 27, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA VYA HALMASHAURI YA WILAYA YA ROMBO June 14, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA August 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA AJIRA YA MKATABA July 16, 2024
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • ZAID YA SHILINGI MILIONI MIA SITA AROBAINI NA MOJA YA KABIDHIWA KWA VIKUNDI 52

    April 17, 2025
  • ZAID YA SHILINGI MILIONI MIA SITA AROBAINI NA MOJA YA KABIDHIWA KWA VIKUNDI 52

    April 17, 2025
  • Ona Zote

Video

Maafisa Elimu Kata wakizifanyia Majaribio Pikipiki
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Muundo wa Halmashauri
  • Wasiliana Nasi Kwa
  • Miladi iliyokamilika

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • MFUMO WA TAUSI
  • Ffars
  • Tamisemi
  • Idara ya Takwimu (NBS)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Rombo District Council,Mkuu Bomani Street

    Sanduku la Posta: P.o Box 52,Mkuu,Rombo

    Simu: 027-2757101

    Simu ya Mkononi: 027-2757101

    Barua Pepe: ded@rombodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright@2019Rombodc.all rights reserved