• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Complaints |
    • Gms |
Government Web Framework

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Government Web Framework

  • Home
  • madiwani
    • madiwani
      • dodoma
    • Kikuyu
    • Regional Leaders
  • Utawala
    • Regional Secretariat Structure
    • Sections
      • Human Resources
      • Planning and Cordination
      • Economy and Production
      • Infrastructure
      • Local Government
      • Afya
      • Education
      • Maji
    • Units
      • Finance and Accounts
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Procurement and Supply
      • Information and Communication Technologies
      • Legal Services
  • Districts
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewa
  • Councils
    • Buchosa DC
    • Ilemela MC
    • Kwimba DC
    • Magu DC
    • Misungwi DC
    • Mwanza CC
    • Sengerema DC
    • Ukerewe DC
  • Investiment Opportunity
    • Kilimo
    • Livestock
    • Services
    • Industries and Trade
    • Mining
    • Fishing
  • Tourism Centers
    • Saanane National Park
    • Bujora
    • Bismarck Rocks
    • Nyakuberega
    • Nyamadoke
  • Media Center
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba
    • speeches
    • Press-Releases
    • video
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Reports

Serikali kuboresha usikivu wa TBC Rombo

Posted on: January 13th, 2020

Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo  Dkt. Harrison Mwakyembe  amefanya ziara wilayani Rombo na kukagua usikivu wa matangazo ya Shirika la Utangazaji la Taifa(TBC) , ikiwa ni pamoja na kutembelea mtambo wa kurushia matangazo uliopo katika eneo la Tarakea.

Dkt .Mwakyembe amesema kuwa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ibara ya 18 E imeweka wazi  jukumu la serikali kuhakikisha wananchi wanapata taarifa. Na kwa kutambua hilo wizara kwa kushirikiana na sekta ya mawasiliano iliunda timu iliyopita kukagua maeneo yote ya mipakani ambayo ndio yenye shida ya kupata usikivu na kukuta wanasikiliza redio za nchi jirani.

Baada ya kupita timu hiyo Dkt Mwakyembe amesema kuwa changamoto za usikivu zilitatuliwa katika maeneo mengi lakini bado serikali iliendelea kupata malalamiko katika maeneo ya Rombo na Loliondo na baada ya timu ya pili kupita pia iligundua bado maeneo hayo hayana usikivu.

‘Kwa  wilaya ya Rombo ni lazima kufanya uwekezaji zaidi, kwa kuweka Mtambo zaidi ya mmoja na kuuongezea nguvu Mtambo wa kurushia matangazo uliopo Moshi ili eneo lote la Rombo lipate usikivu wa TBC’, amesema Dkt. Mwakyembe.

Akizungumza kwa niaba ya Mtendaji Mkuu wa TBC, Mhandisi  wa Ufundi Upendo Mbelle amekiri kuwepo kwa changamoto ya usikivu katika baadhi ya maeneo baada ya Shirika kufanya ukaguzi wa mitambo na kubaini changamoto ya kila mtambo.

 Ameongeza kuwa TBC imejipanga kufanya maboresho katika mitambo yao na tayari vifaa vyote vinavyotakiwa vimeshanunuliwa, kwa sasa vinafanyiwa uhakiki na ndani ya miezi mitatu kazi ya maboresho itakuwa imekamilika.

Aidha kwa upande wa wilaya ya Rombo Mhandisi Mbelle amesema kuwa maboresho yatafanyika katika mtambo wa kurushia matangazo uliopo Moshi ili usikivu ufike mpaka eneo la Holili, na vilevile wataongeza mtambo mwingine katika eneo la Mkuu ili eneo lote la Rombo lipate usikivu.

Awali akimkaribisha Dkt Mwakyembe , Mkuu wa wilaya ya Rombo Agness Hokororo amesema kuwa kero kubwa kwa wananchi wa Rombo baada ya Maji ni mawasiliano, kitu kinachoweza kupelekea watu kupashana habari zisizo sahihi.

Matangazo

  • BOFYA HAPA KUPATA MAELEKEZO YA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021 December 14, 2020
  • BOFYA HAPA KUPATA ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA WILAYA YA ROMBO MWAKA 2021 December 18, 2020
  • Tangazo la Kikao cha Baraza la Madiwani Tarehe 31.10.2018 October 23, 2018
  • Matokeo ya Darasa la saba 2019 October 16, 2019
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI

    August 03, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI

    July 22, 2022
  • TANGAZO LA ZABUNI

    July 22, 2022
  • KARIBU SANA MHESHIMIWA MAKAMU WA RAISI WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA ROMBO.

    July 14, 2022
  • Ona Zote

Video

Maafisa Elimu Kata wakizifanyia Majaribio Pikipiki
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Muundo wa Halmashauri
  • Wasiliana Nasi Kwa
  • Miladi iliyokamilika

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Rombo District Council,Mkuu Bomani Street

    Sanduku la Posta: P.o Box 52,Mkuu,Rombo

    Simu: 027-2757101

    Simu ya Mkononi: 027-2757101

    Barua Pepe: info.ded@rombodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.