• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Complaints |
    • Gms |
Government Web Framework

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Government Web Framework

  • Home
  • madiwani
    • madiwani
      • dodoma
    • Kikuyu
    • Regional Leaders
  • Utawala
    • Regional Secretariat Structure
    • Sections
      • Human Resources
      • Planning and Cordination
      • Economy and Production
      • Infrastructure
      • Local Government
      • Afya
      • Education
      • Maji
    • Units
      • Finance and Accounts
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Procurement and Supply
      • Information and Communication Technologies
      • Legal Services
  • Districts
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewa
  • Councils
    • Buchosa DC
    • Ilemela MC
    • Kwimba DC
    • Magu DC
    • Misungwi DC
    • Mwanza CC
    • Sengerema DC
    • Ukerewe DC
  • Investiment Opportunity
    • Kilimo
    • Livestock
    • Services
    • Industries and Trade
    • Mining
    • Fishing
  • Tourism Centers
    • Saanane National Park
    • Bujora
    • Bismarck Rocks
    • Nyakuberega
    • Nyamadoke
  • Media Center
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba
    • speeches
    • Press-Releases
    • video
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Reports

Rombo tumependelewa-Hokororo

Posted on: January 29th, 2020

DC Hokororo akizungumza na wadau wa Elimu

Mhe. Mkuu wa Wilaya ya Rombo Agness Hokororo amesema kuwa  wilaya ya Rombo imependelewa na Wizara kwa kuletewa fedha za kutekeleza miradi  miwili ya elimu kwa mwaka 2019, ikiwa ni milioni 152 za kujenga ofisi za udhibiti ubora wa shule  na milioni 500 za kukifanya upya chuo cha maendeleo ya wananchi Mamtukuna kilichokuwa chini ya Maendeleo ya Jamii  ambacho kwa sasa kinasimamiwa na wizara.

Hayo ameyazungumza katika halfa fupi ya ufunguzi wa Ofisi ya udhibiti ubora wa shule uliofanyika mapema leo Januari 29,2020

Ameongeza kuwa serikali  ipo mstari wa mbele kuwaletea wananchi maendeleo  kwa kuimarisha miundombinu mbalimbali katika sekta za elimu,afya ,barabara na umeme bila kujali itikadi,rangi dini wala ukabila na wananchi wa wilaya ya Rombo ni wanufaika.

Katika hatua nyingine Hokororo amewataka wadau wa elimu kutoiona ofisi ya udhibiti ubora wa shule kama washitaki ,bali wafanye kazi kwa kushirikiana kunyanyua kiwango cha elimu na ufaulu kwa wilaya  kwa kuboresha mazingira ya kufundishia na kusomea kwa walimu na wanafunzi.

Naye mdhibiti ubora kanda  amesema kuwa suala la udhibiti ubora ni mfumo unaoangalia viwango vya elimu na kazi hii inafanyika kwa ushirikiano kuanzia ngazi ya shule ambapo mdhibiti ubora ni mkuu wa shule akishirikiana na baadhi ya walimu, wadhibiti ubora wengine ni  Afisa elimu kata, Afisa Elimu(Wilaya) Afisa Elimu(Mkoa) ,wote kwa pamoja wanashirikiana kuhakikisha shule zinafanya vizuri na kuwa na ufaulu wa kutosha

Akisoma taarifa fupi ya mradi Mdhibiti ubora wa shule W amesema kuwa wilaya ya Rombo ni miongoni mwa wilaya 100 zilizopewa fedha ya kujenga ofisi za Udhibiti ubora wa shule Tanzania ambapo kwa kanda ya kaskazini yenye jumla ya halmashauri 18 Rombo ni Miongoni mwa wilaya 10 zilizofanikiwa kupata fedha za ujenzi .

 

Matangazo

  • BOFYA HAPA KUPATA MAELEKEZO YA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021 December 14, 2020
  • BOFYA HAPA KUPATA ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA WILAYA YA ROMBO MWAKA 2021 December 18, 2020
  • Tangazo la Kikao cha Baraza la Madiwani Tarehe 31.10.2018 October 23, 2018
  • Matokeo ya Darasa la saba 2019 October 16, 2019
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI

    August 03, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI

    July 22, 2022
  • TANGAZO LA ZABUNI

    July 22, 2022
  • KARIBU SANA MHESHIMIWA MAKAMU WA RAISI WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA ROMBO.

    July 14, 2022
  • Ona Zote

Video

Maafisa Elimu Kata wakizifanyia Majaribio Pikipiki
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Muundo wa Halmashauri
  • Wasiliana Nasi Kwa
  • Miladi iliyokamilika

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Idara ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Rombo District Council,Mkuu Bomani Street

    Sanduku la Posta: P.o Box 52,Mkuu,Rombo

    Simu: 027-2757101

    Simu ya Mkononi: 027-2757101

    Barua Pepe: info.ded@rombodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.