• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rombo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mipango na Takwimu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Utumishi na Utawala
      • Afya
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Uchaguzi
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • maji
    • Elimu
    • Watumishi
    • Kilimo
    • Afya
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Mipya
  • Machapisho
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti
    • Taratibu
    • Taarifa za Fedha
      • Taarifa ya makisio ya Mapato
      • Taarifa ya Mapato Halisi
      • Taarifa ya Matumizi
      • MTEF
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba

Rombo tumependelewa-Hokororo

Posted on: January 29th, 2020

DC Hokororo akizungumza na wadau wa Elimu

Mhe. Mkuu wa Wilaya ya Rombo Agness Hokororo amesema kuwa  wilaya ya Rombo imependelewa na Wizara kwa kuletewa fedha za kutekeleza miradi  miwili ya elimu kwa mwaka 2019, ikiwa ni milioni 152 za kujenga ofisi za udhibiti ubora wa shule  na milioni 500 za kukifanya upya chuo cha maendeleo ya wananchi Mamtukuna kilichokuwa chini ya Maendeleo ya Jamii  ambacho kwa sasa kinasimamiwa na wizara.

Hayo ameyazungumza katika halfa fupi ya ufunguzi wa Ofisi ya udhibiti ubora wa shule uliofanyika mapema leo Januari 29,2020

Ameongeza kuwa serikali  ipo mstari wa mbele kuwaletea wananchi maendeleo  kwa kuimarisha miundombinu mbalimbali katika sekta za elimu,afya ,barabara na umeme bila kujali itikadi,rangi dini wala ukabila na wananchi wa wilaya ya Rombo ni wanufaika.

Katika hatua nyingine Hokororo amewataka wadau wa elimu kutoiona ofisi ya udhibiti ubora wa shule kama washitaki ,bali wafanye kazi kwa kushirikiana kunyanyua kiwango cha elimu na ufaulu kwa wilaya  kwa kuboresha mazingira ya kufundishia na kusomea kwa walimu na wanafunzi.

Naye mdhibiti ubora kanda  amesema kuwa suala la udhibiti ubora ni mfumo unaoangalia viwango vya elimu na kazi hii inafanyika kwa ushirikiano kuanzia ngazi ya shule ambapo mdhibiti ubora ni mkuu wa shule akishirikiana na baadhi ya walimu, wadhibiti ubora wengine ni  Afisa elimu kata, Afisa Elimu(Wilaya) Afisa Elimu(Mkoa) ,wote kwa pamoja wanashirikiana kuhakikisha shule zinafanya vizuri na kuwa na ufaulu wa kutosha

Akisoma taarifa fupi ya mradi Mdhibiti ubora wa shule W amesema kuwa wilaya ya Rombo ni miongoni mwa wilaya 100 zilizopewa fedha ya kujenga ofisi za Udhibiti ubora wa shule Tanzania ambapo kwa kanda ya kaskazini yenye jumla ya halmashauri 18 Rombo ni Miongoni mwa wilaya 10 zilizofanikiwa kupata fedha za ujenzi .

 

Matangazo

  • MATOKEO YA USAHILI WA WALIOOMBA KAZI YA KUKUSANYA MAPATO NA KAZI YA USAFI August 27, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA VYA HALMASHAURI YA WILAYA YA ROMBO June 14, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA August 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA AJIRA YA MKATABA July 16, 2024
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • ZAID YA SHILINGI MILIONI MIA SITA AROBAINI NA MOJA YA KABIDHIWA KWA VIKUNDI 52

    April 17, 2025
  • ZAID YA SHILINGI MILIONI MIA SITA AROBAINI NA MOJA YA KABIDHIWA KWA VIKUNDI 52

    April 17, 2025
  • Ona Zote

Video

Maafisa Elimu Kata wakizifanyia Majaribio Pikipiki
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Muundo wa Halmashauri
  • Wasiliana Nasi Kwa
  • Miladi iliyokamilika

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • MFUMO WA TAUSI
  • Ffars
  • Tamisemi
  • Idara ya Takwimu (NBS)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Rombo District Council,Mkuu Bomani Street

    Sanduku la Posta: P.o Box 52,Mkuu,Rombo

    Simu: 027-2757101

    Simu ya Mkononi: 027-2757101

    Barua Pepe: ded@rombodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright@2019Rombodc.all rights reserved