• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rombo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mipango na Takwimu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Utumishi na Utawala
      • Afya
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Uchaguzi
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • maji
    • Elimu
    • Watumishi
    • Kilimo
    • Afya
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Mipya
  • Machapisho
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti
    • Taratibu
    • Taarifa za Fedha
      • Taarifa ya makisio ya Mapato
      • Taarifa ya Mapato Halisi
      • Taarifa ya Matumizi
      • MTEF
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba

ROMBO YAFANYA KIKAO CHA TATHMINI YA ELIMU SEKONDARI (MITIHANI KIDATO CHA PILI NA CHA NNE) NA WADAU WA ELIMU

Posted on: April 23rd, 2024


ROMBO YAFANYA KIKAO CHA TATHMINI YA ELIMU SEKONDARI  (MITIHANI KIDATO CHA PILI NA CHA NNE) NA WADAU WA ELIMU.



Halmashauri ya Wilaya ya Rombo ikiongonzwa na Mhe. Raymond Steven Mwangwala Mkuu wa Wilaya ya Rombo (Mgeni rasmi)  mapema leo  imefanya kikao cha tathmini ya Elimu ya sekondari  (taaluma na michezo) na wadau mbalimbali wa Elimu katika ukumbi wa shule ya msingi St. Joseph ya Mkuu.


Akizungumza Katika kikao hicho  Mhe. Raymond Mwangwala  aliwataka wadau wote katika kikao hicho kuhalikisha wanasimamia mustakabali wa elimu kwani elimu ndio msingi katika kujenga taifa imara. 



"Tunapojadili haya tujifananishe katika ushindani wa dunia, Je elimu tunayoitoa inaendana na ushindani wa dunia?  na ili kulifahamua hilo ni wazi tunahitaji  kufanya vikao kama hivyi vya tathmini pamoja wadau wa Elimu lakini pia  kufanya tafiti za kina zaidi ili kuboresha zaidi sekta hii ya Elimu" alizungumza Mhe. Mwangwala. 


Kadhalika Mkuu wa Wilaya ameomba wadau wa elimu kona haja ya kuongeza   somo la maadili kwa wanafunzi  ili kukabiliana na changamoto kubwa  ya mmomonyoko wa maadili katika jamii hasa katika kipindi hiki Cha utandawazi.


Pia Mhe.Mwangwala  amepongeza jitihada za wadau wa elimu  katika kutambua umuhimu wa kutunza mazingira na vyanzo vya maji. 



"Licha ya kutambua jitihada  hizo bado nawaomba waalimu wakuu kuhakikisha kila mwanafunzi anapanda mti wake nyumbani na shuleni na kutunza miti hiyo na nitahakikisha nafanya ziara za kushtukiza kujionea hali inakwendaje" Mhe. Mwangwala amezungumza hayo kutokana na kuwepo kwa changamoto ya  mabadiliko makubwa ya tabia ya nchi yaliyosababishwa  na uharibifu wa mazingira


Matangazo

  • MATOKEO YA USAHILI WA WALIOOMBA KAZI YA KUKUSANYA MAPATO NA KAZI YA USAFI August 27, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA VYA HALMASHAURI YA WILAYA YA ROMBO June 14, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA August 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA AJIRA YA MKATABA July 16, 2024
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • ZAID YA SHILINGI MILIONI MIA SITA AROBAINI NA MOJA YA KABIDHIWA KWA VIKUNDI 52

    April 17, 2025
  • ZAID YA SHILINGI MILIONI MIA SITA AROBAINI NA MOJA YA KABIDHIWA KWA VIKUNDI 52

    April 17, 2025
  • Ona Zote

Video

Maafisa Elimu Kata wakizifanyia Majaribio Pikipiki
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Muundo wa Halmashauri
  • Wasiliana Nasi Kwa
  • Miladi iliyokamilika

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • MFUMO WA TAUSI
  • Ffars
  • Tamisemi
  • Idara ya Takwimu (NBS)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Rombo District Council,Mkuu Bomani Street

    Sanduku la Posta: P.o Box 52,Mkuu,Rombo

    Simu: 027-2757101

    Simu ya Mkononi: 027-2757101

    Barua Pepe: ded@rombodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright@2019Rombodc.all rights reserved