• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rombo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mipango na Takwimu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Utumishi na Utawala
      • Afya
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Uchaguzi
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • maji
    • Elimu
    • Watumishi
    • Kilimo
    • Afya
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Mipya
  • Machapisho
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti
    • Taratibu
    • Taarifa za Fedha
      • Taarifa ya makisio ya Mapato
      • Taarifa ya Mapato Halisi
      • Taarifa ya Matumizi
      • MTEF
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba

Mkuu wa Wilaya ya Rombo Mhe. Kanal Hamis Maiga aongoza kikao cha tathimini ya lishe

Posted on: July 24th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Rombo Mhe. Kanal Hamis Maiga aongoza kikao cha robo ya nne ya mwaka, Aprili - Juni 2023 kuhusu tathimini ya lishe leo katika ukumbi wa mikutano wa Wilaya ya Rombo. Kikao hicho kilihudhuriwa na Watendaji wa kata, Maafisa Elimu Msingi na Sekondari, Afisa tawala Afisa lishe, Afisa Sheria pamoja na Mganga Mkuu wa Wilaya.

Katika kikao hicho Mhe. Kanali Maiga ameagiza shule zote za msingi na sekondari ambazo bado hazitoi huduma ya chakula kuahikikisha huduma inatolewa mara moja. "Utoaji wa chakula shuleni  utawapunguzia wanafunzi kukaa shuleni mda mrefu bila kula, mahudhurio  kuongezeka na hata kuchangia ufaulu kwa wanafunzi" Mkuu wa Wilaya aliongeza.

Vilivile,  alitoa wito kwa wazazi kuwa, pamoja na  Elimu kutolewa bure, ni jukumu la wazazi kuchangia huduma ya chakula shuleni kama muongozo wa Elimu unavyoelekeza.  Sambamba na hilo, aliwaagiza Maafisa Elimu  Msingi na Sekondari kutoa elimu kwa wazazi hao juu ya umuhimu wa kutoa michango kwaajili ya  huduma ya chakula shuleni.

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Rombo  akiwakilishwa na Mkuu wa Divisheni ya utawala na utumishi Ndg. Judith P Mahende, aliwataka watendaji wa kata kutekeleza maagizo mbalimbali ya  lishe yanayotolewa kwa kila kata kwa wakati. Endapo  watendaji hao watashindwa kutekeleza maagizo hayo, posho zao  hazitalipwa hadi utekelezaji utakapokamilika.

Agizo hili  lilikuja baada ya kugundulika  kwa hali ya kusuasua katika utekelezaji na uwasilishaji  wa taarifa kwa baadhi ya viongozi.

Imetolewa na Afisa Mawasiliano  Serikalini

Matangazo

  • MATOKEO YA USAHILI WA WALIOOMBA KAZI YA KUKUSANYA MAPATO NA KAZI YA USAFI August 27, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA VYA HALMASHAURI YA WILAYA YA ROMBO June 14, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA August 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA AJIRA YA MKATABA July 16, 2024
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • ZAID YA SHILINGI MILIONI MIA SITA AROBAINI NA MOJA YA KABIDHIWA KWA VIKUNDI 52

    April 17, 2025
  • ZAID YA SHILINGI MILIONI MIA SITA AROBAINI NA MOJA YA KABIDHIWA KWA VIKUNDI 52

    April 17, 2025
  • Ona Zote

Video

Maafisa Elimu Kata wakizifanyia Majaribio Pikipiki
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Muundo wa Halmashauri
  • Wasiliana Nasi Kwa
  • Miladi iliyokamilika

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • MFUMO WA TAUSI
  • Ffars
  • Tamisemi
  • Idara ya Takwimu (NBS)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Rombo District Council,Mkuu Bomani Street

    Sanduku la Posta: P.o Box 52,Mkuu,Rombo

    Simu: 027-2757101

    Simu ya Mkononi: 027-2757101

    Barua Pepe: ded@rombodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright@2019Rombodc.all rights reserved