• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rombo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mipango na Takwimu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Utumishi na Utawala
      • Afya
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Uchaguzi
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • maji
    • Elimu
    • Watumishi
    • Kilimo
    • Afya
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Mipya
  • Machapisho
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti
    • Taratibu
    • Taarifa za Fedha
      • Taarifa ya makisio ya Mapato
      • Taarifa ya Mapato Halisi
      • Taarifa ya Matumizi
      • MTEF
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba

Mkurugenzi avipiga shule vikundi vinavyopewa mkopo na Halmashauri

Posted on: January 9th, 2020

Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Rombo  Godwin Chacha ametoa mafunzo kwa vikundi  20  vya wanawake, vijana na  wenye  ulemavu, ambayo yamefanyika katika ukumbi wa mikutano  wa Halmashauri  ,kuhusu matumizi sahihi ya fedha za mikopo, uaminifu katika marejesho na njia rahisi ya kutatua changamoto wanazokabiliana nazo za kitaalamu.

Akizungumza katika mafunzo hayo amewaasa wanavikundi wasichukue fedha za kikundi na kupeleka nyumbani ili kufanyia matumizi binafsi au kuwapa wenza wao ,kwani  kwa kufanya hivyo  itasababisha kikundi kizima kupoteza uaminifu na kushindwa kufanya marejesho na matokeo yake ni Halmashauri kukipeleka kikundi mahakamani.

Sambamba na hilo Chacha ameviasa vikundi ambavyo ndio mara ya kwanza kuchukua mkopo kufuata fedha benki kwa pamoja ili kuepuka  kusalitiana,  iwapo ikatokea mwanakikundi mmoja au wawili wamekimbia na fedha na kupelekea kikundi kushindwa kufanya marejesho haimaanishi watasamehewa , kikundi bado kitahitajika kufanya marejesho ya mkopo.

Ameongeza  kuwa serikali inatoa mikopo hiyo ambayo inatokana na 10% ya mapato ya ndani ya Halmashauri bila riba wala rushwa ya aina yeyote, ikiwa na lengo la kuwainua wananchi kiuchumi hivyo ni muhimu kwa vikundi kufanya marejesho kwa uaminifu ili serikali ipate nguvu ya kusaidia vikundi vingine.

Vilevile amevitaka vikundi hivyo visisite kufika ofisini na kukutana na wataalamu muda wowote wanapopata changamoto katika shughuli zao kama kikundi  kwa ajili ya ushauri wa kitaalamu na kupata maelekezo ya kinachotakiwa kufanyika ili kutatua changamoto zao.

 “Usichezee mtaji, chezea  faida huku ukikumbuka kuwa faida nayo inatakiwa kuwa sehemu ya kukuza mtaji ambao utakufanya usogee kutoka katika hatua moja kwenda nyingine”, amesema Chacha

Matangazo

  • MATOKEO YA USAHILI WA WALIOOMBA KAZI YA KUKUSANYA MAPATO NA KAZI YA USAFI August 27, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA VYA HALMASHAURI YA WILAYA YA ROMBO June 14, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA August 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA AJIRA YA MKATABA July 16, 2024
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • KARIBU KWENYE BARAZA LA MADIWANI.

    May 07, 2025
  • ZAID YA SHILINGI MILIONI MIA SITA AROBAINI NA MOJA YA KABIDHIWA KWA VIKUNDI 52

    April 17, 2025
  • ZAID YA SHILINGI MILIONI MIA SITA AROBAINI NA MOJA YA KABIDHIWA KWA VIKUNDI 52

    April 17, 2025
  • Ona Zote

Video

Maafisa Elimu Kata wakizifanyia Majaribio Pikipiki
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Muundo wa Halmashauri
  • Wasiliana Nasi Kwa
  • Miladi iliyokamilika

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • MFUMO WA TAUSI
  • Ffars
  • Tamisemi
  • Idara ya Takwimu (NBS)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Rombo District Council,Mkuu Bomani Street

    Sanduku la Posta: P.o Box 52,Mkuu,Rombo

    Simu: 027-2757101

    Simu ya Mkononi: 027-2757101

    Barua Pepe: ded@rombodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright@2019Rombodc.all rights reserved